Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Watapigia katerero barabarani safari hii
Wahaya bhana kumbe hata njia hakuna huko ndio mnachimba matope muda huu, Jifunzeni Uchaggani barabara za Lami mpaka vichochoroni
Sent from my Iphone using Tapatalk
Ila bhana pmj na mapungufu yake lkn Ruge kwa Zama alikuwa kafa kaoza hd kumlilia jmn sio jambo dogo.Audio nafikir Zama ameshaolewa na walikua wanamponda shilawadu ndo maana akairusha kusudi tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaa alikuwa analilia mke wa mtuAudio nafikir Zama ameshaolewa na walikua wanamponda shilawadu ndo maana akairusha kusudi tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wazee watamu hawana njaa kihivyo..Pesa yenyewe ikizidi sana milioni kumi!!Sasa kweli milions ndio ziwatoe roho???Nilitaka kushangaa aseeh!!hawajafikia hukoo jamani! Ahsante kunifafanulia
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππ alaaah sikuona kumbeee NIMEKOMAmbwa mama mzazi wako
πππππ alaaah sikuona kumbeee NIMEKOMA
Sikuwahigi kujuwa kama mke wa Romy alizaa na Ruge aisee! !Yaap Tena Zama amemfaidi sana Ruge mnoo!! Na yule Kay na Beatrice
Hata maisha ya watoto wa Zama yako vzr mnoo kulinganisha na hao wengine!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Peace peace. lakini umemwonea tu mama angu kwa makosa yangupeace
Peace peace. lakini umemwonea tu mama angu kwa makosa yangu
Peace peace. lakini umemwonea tu mama angu kwa makosa yangu
Bwana awe nanyii..kiufupi sipend kbs kutukana kwanza sinaga matusi ila unilifanya nihamaki kwa kuniita mbwa kisa nimesema tuombe Mungu atupe Ruge mweingine ukaniambia mm mbwa..khaa sasa km haijakupain usitufanye wote tuwe same..!
again niweie radhi..!siku nyingne njoo taratibu..nadelete comment yangu!
Na wewe pia nakutakia utangulizi mwema Wa mapumziko ulipojiandalia [emoji2]upumzike unapostahili mkuu[emoji4]
Na wewe pia nakutakia utangulizi mwema Wa mapumziko ulipojiandalia [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naandika M.A.P siku Zote Chief.
Mwenyewe ntolee uchuro wako hapa. Watz wengi wachawi Sana basi tu hamjijui turip[emoji16]
πππππ..easy mkuu...was kiddng mbona unaogopa hvyo na huku sote ni njia 1??πππmie siwez kuwa mchawi siku 1Mwenyewe ntolee uchuro wako hapa. Watz wengi wachawi Sana basi tu hamjijui tu
Sent using Jamii Forums mobile app