Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matumizi mabaya ya madaraka.... Mkuu wa mkoa angetosha kuwakilisha[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ndo mwanahabari wa kwanza kufariki?Amani kwako.
Katika hali ambayo wale great thinker wanaweza kuona kwa njia yoyote unaweza kuangalia kilichofanyika na kinachoendelea kufanyika katika msiba wa ndugu na Mtanzania mwenzetu Ruge.
Baadhi ya watu hawakuweza kumfaham na wengine wanauliza kitaifa alikuwa ni nani huyu hata kulifanya taifa kuzizima na kumfuatilia kwa kiasi hiki.
Media coverage imefanya kazi yake na hii ndiyo nguvu ya chombo cha habari.
Ruge alikua Kada wa CCM......Pia ni master mind
Ila alikua mjanja mjana sana yani watt wa Mujini....... Ukizubaa tu anakulizaa....
Wanasiasa ni mabingwa wa kucheza na akili za watu lengo ni kuwaghilibu wananchi ili waendelee kupata wanachokitaka, ni watu hatari sana
Youtube video nyingi zitakupa ujue..
Acha wivu
Usiwadanganye wadau ambao hawakufika ulikanyagana na hamisa au local wenzio? Maana wao walikuwa na walinzi wao binafsi sasa tueleze mazingira ya kukanyagana naeWananzengo bado mpo? Mwenzenu niko hoi jana nimekanyagana na akina Hamissa msibani naumwaaaa.
Ila nilifaidi haki, sidhani kama kuna event nyingine unayoweza kuwaona mastar wote kama ile! Jana nimekutana na wambea wengine huko basi msiba ulikuwa motoooo.
Unalia ukimaliza unapiga umbea.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mazishi ya Ruge ndio yanatuonyesha uwezo wa clouds FM wa kulikuza hata jambo dogo likawa kubwa.
Msiba wa Ruge unaweza kuwa mkubwa lakini sio kwa namna ulivyoratibiwa na wazee wa fitna clouds FM na kuwa na ukubwa ule hadi DW na BBC wakaudaka huko majuu. hence msiba huko overrated sana yaani Kama kafa kambarage vile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifo chake kimesaidia kupoteza upepo wa siasa. Kumbuku hiki kipindi kuna sakata la korosho, upotevu wa 2.4t, kushuka kwa dhamani ya pesa, dhamana ya mbowe, mikiki ya lissu uko ughaibuni, na ujio wa Lowassa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wajitambua wadada wengi tunatake risky hizoo za kulala na mibabaSi kwa heshima hizo maee na jitahidi upate fame kihalali usiende beyond nature
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]haya tupe za msibani huko my dear hapa navuja mate kwa ubuyuuuWananzengo bado mpo? Mwenzenu niko hoi jana nimekanyagana na akina Hamissa msibani naumwaaaa.
Ila nilifaidi haki, sidhani kama kuna event nyingine unayoweza kuwaona mastar wote kama ile! Jana nimekutana na wambea wengine huko basi msiba ulikuwa motoooo.
Unalia ukimaliza unapiga umbea.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kusaga ana hisa nyingi zaidi pale wasafi, akisema rusha itarushwa tu Diamond hawezi sema chochoteHivi sasa Wasafi tv wako live (mubashara) kwenye ukumbi wa karimjee kumuaga aliyekuwa mkurugenzi wa uzalishaji wa vipindi vya clouds.
.
Sasa wale ndugu zangu ambao mna chuki na Diamond Platnumz mliokuwa mkimsema kuwa hajaguswa na lolote semeni tena
Mjasiriamali wa nini?Ruge alihakikisha watoto wake wanaishi km wafalme Zama alikua km nyau pale anawakilisha ila mchawi alikua Ruge!ila ataweza somesha si mjasiriamali
Sent using Jamii Forums mobile app