TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Sababu nyingine ni msaada wa Ruge kwenye kampeni Muhimu za Ccm 2015, Ruge aliratibu kutengeneza majukwaa Yote na akaleta wasanii wote kwa ajili ya kuperfom kila mkoa Ccm ilipofanyia kampeni zake. Hakuishia hapo akaenda redion kufanya fitna za kukipamba chama.

Mbali na mengineyo ni ukweli usiopingika Ruge alifanya kazi kubwa sana kuwaweka Ccm wawe hapo walipo leo. Ndio reason magufuli anamuitaga Ruge "kijana wangu" aliplay role kubwa kuhakikisha magufuli anakuwa Rais. The same na kwa kikwete.

Ndio maana Ruge ni zaidi ya makada wengi akiwa hajawahi kuvaa gwanda za uvccm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Beatrice anajiita nani insta?

Ndo huyo mdada mweusi alijifunga kilemba cheusi alikuwa na mtoto?

Huyo mke wa Romy Jones mbona kaumia hivyoo?

Hivi Zama anapatana na wazazi wa Ruge kweli?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Media ina nguvu kubwa ya kusway na kumanipulate public opinion.Nimewahoji watu kadhaa kutaka kujua sababu za wao kuguswa na msiba huo,wengi wameguswa kutokana na influence ya media tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]haya tupe za msibani huko my dear hapa navuja mate kwa ubuyuuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanza nilipofika nilikuwa hapo, akina Noel na Zuhra waleeee

Baadae nikahamia jukwaa kuu, huko ndio mastar walikuwa wa kumwaga. Hiyo show ya akina Bella na Msechu ilipoisha tu ndio Diamond akaingia.

Hamissa na wenzie akina Batuli (naona ushoga umekolea kwelikweli [emoji12]) tulikanyagana wakati wa kwenda kuaga, nilipoona fujo nikamuambia mwenzangu tukakae tusubiri fujo liishe mara akina Hamissa nao wakaja kukaa pembeni yetu.
Kusema ukweli Hamissa mzuri sana, watu wanasemaga ni editing zinambeba lakini hapana aiseeee.
Kazuri kweli.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kusaga ana hisa nyingi zaidi pale wasafi, akisema rusha itarushwa tu Diamond hawezi sema chochote

Jamani mwasu nimekumissssssss
Kwenye ile thread ya mji mzito nilitaka kukuita maana na wewe kwa ubuyu nakuvulia kofia nikasahau.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dua la kuku........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…