britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
I doubt something, Ruge was not normal as it seems
Uzuri ushasema unamfahamu kidogoBinafsi Ruge namfahamu kama mkurugenzi wa vipindi vya clouds,sifa yake kubwa labda ni kuanzisha fiesta na kuisimamia pamoja na hayo tumesikia vimaneno kutoka kwa sugu,jay dee na baadae diamond,sijajua alikua na wadhifa gani maana nimeona mazishi yake yamehudhuriwa na maraisi wote wawili,mawaziri wakiongozwa na waziri mkuu,mkuu wa mkoa wa dar es salaam,viongozi wa dini na kila aina ya public figure,kwa kumfahamu kwangu kudogo naona kama kawa overated,kwa wanaomfahamu vizuri naomba wanifumbue macho what am i missing about this guy.RIP RUGE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari moja uanzisha nyingine.Kuna mambo napenda ni discuss kwa kina kidogo .private
Kusaga ana hisa nyingi zaidi pale wasafi, akisema rusha itarushwa tu Diamond hawezi sema chochote
HahahaaaaaaaaNilikaa nje, yeye alikuwa ndani. Kule ndani hakukuwa na issue yoyote mwenzangu. Ubuyu ulikuwa nje
Sent from my iPhone using JamiiForums
Zama alipendwa na ndo alikua official Mrs Rugemalila hata Wema alikua anamrusha sana kipindi cha bday Zama ndo alikula mema ya Ruge
Ananiita cabynedvarda Beatrice!!! Ndo huyo keusi hivi!!Huyo Beatrice anajiita nani insta?
Ndo huyo mdada mweusi alijifunga kilemba cheusi alikuwa na mtoto?
Huyo mke wa Romy Jones mbona kaumia hivyoo?
Hivi Zama anapatana na wazazi wa Ruge kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya tuendelee na umbeaa!!!Kwanza nilipofika nilikuwa hapo, akina Noel na Zuhra waleeee View attachment 1036891
Baadae nikahamia jukwaa kuu, huko ndio mastar walikuwa wa kumwaga. Hiyo show ya akina Bella na Msechu ilipoisha tu ndio Diamond akaingia. View attachment 1036892
Hamissa na wenzie akina Batuli (naona ushoga umekolea kwelikweli [emoji12]) tulikanyagana wakati wa kwenda kuaga, nilipoona fujo nikamuambia mwenzangu tukakae tusubiri fujo liishe mara akina Hamissa nao wakaja kukaa pembeni yetu.
Kusema ukweli Hamissa mzuri sana, watu wanasemaga ni editing zinambeba lakini hapana aiseeee.
Kazuri kweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6][emoji6]!!!!!jamaniiiAhaaaaaahaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....nalijua sana si lile liko shoppers plaza mikocheni?
Sasa mle ndo patapatikana ada 14m kweli??[emoji134][emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haclouds bana kama kuna kitu wanajua ....ni kufanya promo / marketting......jambo lao lazima litakua la nchi nzima (thanx to the late ruge)...yani hyo fiesta ukiisikia inavyotangazwa na ukienda kuionaa....unaweza baki mdomo wazi!...we jiulize tuu clouds wameajiri watu wangapi...lakini ni ma elfu ya wa tz wana mrefer to jamaa as "boss ruge"....yani ukiangalia tv hapa juzi baada ya msiba...unaweza jukuta unalia unajiuliza ivi bila boss ruge mimi ningekua wapia aisee.....baadae akili zikikurudia ndio unasema "allah, ivi mimi kumbe ni mwalimu tuu washule ya msingi fulani , hata Ruge mwenywe nilikua simjui,,,shetani shidwaaa!"
Kwani ndo mwanahabari wa kwanza kufariki?
Nimekupm mkuuMazishi ya Ruge ndio yanatuonyesha uwezo wa clouds FM wa kulikuza hata jambo dogo likawa kubwa.
Msiba wa Ruge unaweza kuwa mkubwa lakini sio kwa namna ulivyoratibiwa na wazee wa fitna clouds FM na kuwa na ukubwa ule hadi DW na BBC wakaudaka huko majuu. hence msiba huko overrated sana yaani Kama kafa kambarage vile.
Sent using Jamii Forums mobile app