Enzi hizo anajiita youngmom,ama kweli katika maisha the only permanent thing is change. NOTHING IS PERMANENT.Uwiiiiiiii jamani nimechekaaaaaa! Nimecheka kama kichaa, loooh bibie sio kwa kuvunja huko kiuno na tumbo lake.
Uke wenza una mambo?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yote mengine semeni ila weupe ndiyo huu.Sababu nyingine ni msaada wa Ruge kwenye kampeni Muhimu za Ccm 2015, Ruge aliratibu kutengeneza majukwaa Yote na akaleta wasanii wote kwa ajili ya kuperfom kila mkoa Ccm ilipofanyia kampeni zake. Hakuishia hapo akaenda redion kufanya fitna za kukipamba chama.
Mbali na mengineyo ni ukweli usiopingika Ruge alifanya kazi kubwa sana kuwaweka Ccm wawe hapo walipo leo. Ndio reason magufuli anamuitaga Ruge "kijana wangu" aliplay role kubwa kuhakikisha magufuli anakuwa Rais. The same na kwa kikwete.
Ndio maana Ruge ni zaidi ya makada wengi akiwa hajawahi kuvaa gwanda za uvccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shuzi limepata mjambajiNdugu zetu Wahaya huo ni ushamba sasa
Kabisa madam. Hiyo pesa ingeweza kutumika kwenye mambo mengine ya maana.Ujinga mtupu.
Duh,neno.Ni influence ya media tuuu ndo maana akidondoka leo soudy brown msiba wake utakuwa mkubwa kuliko wa Prof rwaitama
ni ushamba unawasumbua yaan ki milion 4 kwao ni mabilion hahahaWahaya huu msiba wa ruge wameukunia nazi
ni ushamba unawasumbua yaan ki milion 4 kwao ni mabilion hahahaWahaya huu msiba wa ruge wameukunia nazi
Fundi mtengeneza kaburi kaulamba kama anaenda kwenye send-off ya mwanae na Kitambulisho/Tag anayo shingoni. Hivi wahaya mna nini?
ni ushamba mkuuFundi mtengeneza kaburi kaulamba kama anaenda kwenye send-off ya mwanae na Kitambulisho/Tag anayo shingoni. Hivi wahaya mna nini?
clouds bana kama kuna kitu wanajua ....ni kufanya promo / marketting......jambo lao lazima litakua la nchi nzima (thanx to the late ruge)...yani hyo fiesta ukiisikia inavyotangazwa na ukienda kuionaa....unaweza baki mdomo wazi!...we jiulize tuu clouds wameajiri watu wangapi...lakini ni ma elfu ya wa tz wana mrefer to jamaa as "boss ruge"....yani ukiangalia tv hapa juzi baada ya msiba...unaweza jukuta unalia unajiuliza ivi bila boss ruge mimi ningekua wapia aisee.....baadae akili zikikurudia ndio unasema "allah, ivi mimi kumbe ni mwalimu tuu washule ya msingi fulani , hata Ruge mwenywe nilikua simjui,,,shetani shidwaaa!"
Nimewakumbuka kinamama wa uchochoroni pale Buguruni, Sokota, Tandika na Temeke Sudanni ushamba mkuu