TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

shida kubwa nchi yetu ipo katika mfumo ambao mkuu akishaonekana yupo upande gani basi woooooooooooooooote nao huonekana upande huo huo ilimradi ionekane mawazo yao ni mamoja, mfano upo kwa maadui nao pia wamejichanganya kusifu lakini wengine wameenda mbali zaidi mpaka kumuita kaka yote haya dhamira ni ile ile tu mkuu kapendezwa.

Lakini imagine kama mkuu angepotezea basi amini usiamini hili zogo looooote usingeliona

Mr. London,

This is more than you think.!

Nakupongeza kama hukushiriki kwa namna yoyote iwe physically kwenda ama kuangalia kwenye TV ktk tukio hili lililopewa hadhi ya "msiba"

Kwa sbb, if you did participate in one way or another, then count yourself that you are one of them....

I know it's quite difficult to understand this unless you are spiritually gifted to understand things in spiritual world......

Remember we are almost approaching election seasons for some people to re - acquire their powers and authority from their gods....

It's time to handle blood sacrifices and black worship services to their earthly gods...

It is written, ".....mtawatambua tu kwa mienendo na matendo yao......"
 
Hata mimi bado nashangaa, ila sababu nchi yetu ni ya matukio lolote linawezekana.!
Idawa siku hizi uko vizuri !!!.

Lakini kwa watu wa Bukoba, ni kuwa wamesahaulishwa ulaji wa rambirambi, na kutelekezwa wakati wa tetemeko. Huu uwema umewasahaulisha kila kitu. [emoji120][emoji1666]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzio wanajuana......

Tukio la kifo cha "mwenzao" huyo kwao ni "ibada" yao muhimu kuliko unavyofikiri....

Wenye macho ya "kiroho" waliliona hilo, wakakataa kushiriki "ibada hiyo haramu ya sanamu"....

Hatuombi na wala sitamani lakini niseme kama sehemu ya mjadala huu, kwamba, miongoni mwa watu waliogusa maisha ya wengi hapa Tanzania ni mzee Reginald Mengi...

Ikitokea huyu mzee aitwe leo, trust me hatapata treatment ya mazishi ya "kiserikali" kama alivyopata huyu ndugu yetu japo kamwe hawezi kulingana hata chembe tu na Mzee Reginald Mengi ktk mchango wake wa kuigusa jamii kwa namna ile au hii...!!

Scenario hii ni similar na watu kama Mzee Bakheresa, Mo Dewji na wanaofanana na hao.....

Why?

Hawana shirika nao zaidi ya kuwa walipa kodi tu!!
Hao wengine uliowataja kutategemea kuitwa kwao kumesababishwa na nini, maana anaelia sana msibani no wakumchunguza sana.
 
Kaburi la Watani zangu wahaya mengi hujengwa na mainjinia waliosajiliwa na bodi ya mainjinia msilinganishe na ya makabila mengine ambayo kibarua wa ujenzi yeyote mwenye mwiko wa ujenzi anajenga.Injinia anayejenga lazima kwao afanyiwe interview na maprofesa mainjinia toka vyuo vinavyoheshimika
Hahaha daaah! Haya banaaa
 
mimi lililonishangaza sana ni hili la kutumia ndege yetu sisi walipa kodi na mishahara yetu hii ya la 7.

hivi Lissu (atapokuwa prezo wetu kuanzia 2020) akija kuamua kumfungulia mtu mashitaka ya matumizi mabaya ya madaraka..... kuna wa kulaumu au kulalamika kweli hapa??

Hakuna, na hilo ni obviously lipo litatatokea muda si mwingi ujao...!!

The devil has to be exposed and he must surrender...
 
Watu waliolikuza hawana taswira nzuri kwenye jamii, hivyo wametumia tukio hilo kutaka kujionyesha ni watu wema. Kwa sasa kuzikana kunaangalia itikadi, hivyo huyo kwakuwa hakuwa wa siasa za majukwaani ndio ametumika kutakatishia nyota zao.
Kuna mh anadai yy ndio alikua msiri wa ruge,mh huyo huyo tukio la kupatikana kwa mo baada ya kutekwa yy ndio alikua wa kwanza kutweet!kiki zingine hizi!
 
Back
Top Bottom