Nasema bila kupepesa macho Ruge wa kawaida sana tena sana.
hahahahahahahahahahahaHuyo jamaa ni mastermind Mkubwa wa ccm na baadhi ya campaign nyingi za ccm na serikali project ya campaign ya 2005 hadi 2015 kamaliza yeye
mpuuzi mpuuzi tu
Volunteer una uhakika na unachokisema?GT tunapenda maoni tofauti, kudos, ila its true, the guy his business, wanadai mpaka kufikia ukurugenzi, alipoanzia alikuwa akifanya kazi kama volunteer tu! Bila malipo au malipo kiduchu, he made his bones, lazima apewe sifa zake..
Watu wako kwenye kampeni za urais za mwaka,tutegemee kiki nyingi sana za kutengenezwa
Na wanaomkuza mie nawaona waseng* tu. Coz inafahamika wazi kwamba jamaa kazima ndoto za watu kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyo said kweli anajulikana kama Ruge? Ruge hakua na active account kwenye social media, hakuwa mtu wa bling bling, hakuwa frontier kwenye concerts alikua frontier kwenye seminars fursa, kipepeo, Malkia wa nguvu yaani matukio yanayogusa watu, njia panda kawaruhusu wengi tu kwa mamia waende clouds kuelezea shida zao na wanasaidiwa, kafanya charity events nyingi za kutibu zaidi ya watoto 150 moyo na kusomesha yatima na wanyonge lukuki sasa huyo fela anaingiaje kwenye lane ya Ruge?yoyote ataejihusisha na wasanii atakuwa maarufu ,narudi yeyote ndo maana saidi fella ni maarufu kuliko nusu ya wabunge wote ,hata wewe nikikuuliza mkuu wa mkoa wa katavi ni na utaenda google,lakini nkikuuliza said fella ni nani unajaza ukurasa.sio kwamba said fella ni charismatic ni aina ya kazi anayofanya ,kuna mdogo wangu amepata kazi trip a FM jana naangalia account yake instagram ina followers 78,000 Je dogo nae ashakuwa successful au sjui charismatic ,trump ni rais wa nchi tajiri mwenye nguvu lakini hawezi ukuta umaarufu wa jet li au Anorld shwarznegger
Sijajengaulishajenga mkuu, hata kivanda cha kuuza ndizi t?
Tuvutie iliko mkuu...kuna thread humu humu mtu alisema kuwa ngoma ndie aliepewa hiyo sumu akamuwekea marehem!hiyo thread ina heading"watangazaji wa 360 wawaponda lissu na zito"!Itafute hiyo humu ndani kuna mtu ndo kaeleza mambo yanayotatanisha sana
WAZO ZURI SANA, ILA TAMBUA KILA MTU ATAZIKWA NA UMATI WAKE, IKIWA YEYE KAZIKWA AU KAKUZWA HIVI ISIKUUMIZE SANA KICHWA MAANA HUJUI ALIKUWA NA MSAADA GANI KWA HAO WANAOMLILIA, NA ISITOSHE TUSIPENDE KUTEMBEA NA RATIBA BINAFSI ZA MISIBA YA WATU WENGINE KICHWANI, USIJENGE TASWIRA YAKUTAKA MSIBA HUU UWE HIVI UWE VILE, AMA MTU HUYU AZIKWE HIVI AU VILE, KIKUBWA TUNAPENDA KUWA MAJAJI WAZUURI SANA WA MAKOSA YA WENZETU LAKINI PIA TUNAPENDA KUWA MAWAKILI HODARI SAN WA MAPUNGUFU YETU, UNAFIKI NI PALE UNAPOTAKA MTU ATENDEWE KWA MABAYA YAKE ANGALI MAZURI YAKE UNAJIFANYA HUYAONI, NA ISITOSHE YY HAKUWA MALAIKA ANA MACHAFU YAKE PIAH, SWALI NI KUWA KWANINI UMJAJI KTK ENGO HIYO TU AS IF TOKA AMEZALIWA HADI UMAUTI HAKUNA ZURI ALILOFANYA????? UKIULIZWA AMEKUUMIZA NA NN??? HUNA JIBU, AMEKUDHULUMU NN?? HUNA JIBU, NA UKIULIZWA KWAKO WEWE AMEKU IMPACT AU KUKUZUIA USIPATE UGALI WAKO?? HUNA JIBU ILA KWA KUWA NI MOYO MTUMBA USIOPENDA KUHOJI HUYU MTU AMESHWAHI NIUDHI? HAPANA, KUNITUKANA?? HAPANA, ILA KWA KUWA TUNAPENDA KUANDIKA KWA KUSIKIA SIKIA NDIVYO MAISHA YA MTANZANIA WA KIZAZI HIKI. TUNAPENDA KUTEMBEA NA MTIZIMO YETU MIFUKONI NA KUJAJI HATA WALE USIOWAJUA KIUNDANI, RUGE SIO MSAAFI SANA ILA MWACHENI APATE HESHIMA YAKE HATA KAMA MACHONI KWAKO HUONI KAMA ANASTAHILI UNLESS OTHERWISE WEWE UTAKUWA NDIO MNAFIKI UNAYETAKA UNACHOWAZA KIWE HIVYO, AND NOT KILA FAMOUS PERSON WEWE UMJUE SIO LAZIMAA SANAAAA MAANA DUNIANI TUKO WENGI ASA WATAFAHAMIKA WANGAPI, PUNGUZA HARD FEELINGS MZEE, KAMA UNAPENDA KUWA FAMOUS NA WEWE PIAH TUTAKUZIKA TU MAANA NJIA YETU NI MOJA PIAH.Watanzania kwa ujumla wetu tumejumuika katika tukio la kuomboleza kifo cha mkurugenzi wa Clouds media, Ruge Mutahaba. Nawapa pole ndugu, jamaa, marafiki na wote walioguswa na msiba huu.
Tukiweka unafiki pembeni, tukio la kifo cha Ruge limekuzwa mnoo. Ruge hakuwa mtu maarufu sana Tanzania (japokuwa amefanya mambo mengi makubwa), hakuwa mwema sana na wala hakuwa mtu muhimu sana kwa watanzania walio wengi.
Kila kitu kuhusu maombolezo ya msiba wake kinaonekana kupangwa, kuratibiwa na hata kugharamiwa kwa karibu mnoo na serikali. Tunaambiwa hata tangazo la kifo chake ilibidi itifaki ya ikulu itumike ili rais atangaze kifo chake. Ndugu, jamaa na marafiki wa karibu naye waliopata taarifa za kifo chake waliambiwa wakae kimya kwanza (walifichwa taarifa?) mpaka rais alipotangaza.
Sote tunajua Ruge alikuwa ni mfanyabiashara na kila alichokuwa akikifanya kwenye jamii kilikuwa kimelenga biashara zake kwa 100% hata kama alikuwa akikifunika kwa koti la kijamii. Waliowahi kufanya kazi naye wanajua hilo, na hakuwa na mchezo mchezo katika kufanya biashara zake. Huo ndio ukweli.
Watanzania wote wanalazimishwa kusema mema ya Ruge, kushiriki kuomboleza kifo cha Ruge na kulipia gharama za mazishi yake kama msiba wa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Sidhani kama jambo hili lina afya sana kwa taifa letu huko tuendako, maana nadhani kila mtanzania angetamani naye siku moja ndugu, jamaa au rafiki yake atakayefariki njia hii hii itumike kwake ili kufuta majonzi na kumpa faraja.
Bado sijajua kwanini hili la kufa na kuzikwa kwa Ruge limelazimishwa kuwa tukio kubwa la kitaifa, lazima kuna sababu, nadhani huenda ipo siku tutaambiwa kinagaubaga.
Ruge hayupo tena, tuliompenda na waliomchukia tumeendea kuwepo, tukishamaliza kumzika turudi na kuendelea na maisha yetu.