TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Huyo jamaa ni mastermind Mkubwa wa ccm na baadhi ya campaign nyingi za ccm na serikali project ya campaign ya 2005 hadi 2015 kamaliza yeye

mpuuzi mpuuzi tu
hahahahahahahahahahaha
 
Sasa huyo said kweli anajulikana kama Ruge? Ruge hakua na active account kwenye social media, hakuwa mtu wa bling bling, hakuwa frontier kwenye concerts alikua frontier kwenye seminars fursa, kipepeo, Malkia wa nguvu yaani matukio yanayogusa watu, njia panda kawaruhusu wengi tu kwa mamia waende clouds kuelezea shida zao na wanasaidiwa, kafanya charity events nyingi za kutibu zaidi ya watoto 150 moyo na kusomesha yatima na wanyonge lukuki sasa huyo fela anaingiaje kwenye lane ya Ruge?

Hivi promoter wa Mr Nice unamfahamu? Kuna mwanamziki aliegusa hii East Africa na Kati kama Mr Nice?

Sio kila mtu atapata attention aliyopata Ruge na wala kuipata hiyo attention sio kazi ndogo kama unabisha nenda na wewe kadeal na wasanii tukuone.
 
Sasa mkuu we unateseka nini hapo,si uwaache wenyewe huko na habari zao...Ukiona kitu hukielewi elewi ama hukipendi acha kukifuatilia
 
WAZO ZURI SANA, ILA TAMBUA KILA MTU ATAZIKWA NA UMATI WAKE, IKIWA YEYE KAZIKWA AU KAKUZWA HIVI ISIKUUMIZE SANA KICHWA MAANA HUJUI ALIKUWA NA MSAADA GANI KWA HAO WANAOMLILIA, NA ISITOSHE TUSIPENDE KUTEMBEA NA RATIBA BINAFSI ZA MISIBA YA WATU WENGINE KICHWANI, USIJENGE TASWIRA YAKUTAKA MSIBA HUU UWE HIVI UWE VILE, AMA MTU HUYU AZIKWE HIVI AU VILE, KIKUBWA TUNAPENDA KUWA MAJAJI WAZUURI SANA WA MAKOSA YA WENZETU LAKINI PIA TUNAPENDA KUWA MAWAKILI HODARI SAN WA MAPUNGUFU YETU, UNAFIKI NI PALE UNAPOTAKA MTU ATENDEWE KWA MABAYA YAKE ANGALI MAZURI YAKE UNAJIFANYA HUYAONI, NA ISITOSHE YY HAKUWA MALAIKA ANA MACHAFU YAKE PIAH, SWALI NI KUWA KWANINI UMJAJI KTK ENGO HIYO TU AS IF TOKA AMEZALIWA HADI UMAUTI HAKUNA ZURI ALILOFANYA????? UKIULIZWA AMEKUUMIZA NA NN??? HUNA JIBU, AMEKUDHULUMU NN?? HUNA JIBU, NA UKIULIZWA KWAKO WEWE AMEKU IMPACT AU KUKUZUIA USIPATE UGALI WAKO?? HUNA JIBU ILA KWA KUWA NI MOYO MTUMBA USIOPENDA KUHOJI HUYU MTU AMESHWAHI NIUDHI? HAPANA, KUNITUKANA?? HAPANA, ILA KWA KUWA TUNAPENDA KUANDIKA KWA KUSIKIA SIKIA NDIVYO MAISHA YA MTANZANIA WA KIZAZI HIKI. TUNAPENDA KUTEMBEA NA MTIZIMO YETU MIFUKONI NA KUJAJI HATA WALE USIOWAJUA KIUNDANI, RUGE SIO MSAAFI SANA ILA MWACHENI APATE HESHIMA YAKE HATA KAMA MACHONI KWAKO HUONI KAMA ANASTAHILI UNLESS OTHERWISE WEWE UTAKUWA NDIO MNAFIKI UNAYETAKA UNACHOWAZA KIWE HIVYO, AND NOT KILA FAMOUS PERSON WEWE UMJUE SIO LAZIMAA SANAAAA MAANA DUNIANI TUKO WENGI ASA WATAFAHAMIKA WANGAPI, PUNGUZA HARD FEELINGS MZEE, KAMA UNAPENDA KUWA FAMOUS NA WEWE PIAH TUTAKUZIKA TU MAANA NJIA YETU NI MOJA PIAH.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…