TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Nandy kutembea na mtu anaemzidi hivyo kulikoni?? ndo maana amekaa kwenye safu za bebi mamaz wa ruge?

Dah [emoji23][emoji23] hata sijui kwa nn na yy hakumzalia mwenzie. Angebakia na kumbukumbu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umewaambia vizuri

Hahaha tuandamane sie tulie sie waumie wao

Hizo kazi wanazifanya saa ngapi ilhali muda wote wapo kwenye kideo na mitandaoni kufatilia waombolezaji wanaomboleza vipi??

Wivu tu



Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kuna wabongo wengine mpaka umpeleke Ugali na Maharage akale na familia yake yeye pekee ndio atakuona umefanya jambo jema.

Hawezi kuona jema utakalofanya kwa mtu mbongo mwenzake.

Ubinafsi wa kiwango cha rami..Mungu tusaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzio wanajuana......

Tukio la kifo cha "mwenzao" huyo kwao ni "ibada" yao muhimu kuliko unavyofikiri......

They know exactly hata utaratibu wa kufa kwake. Kulia kwao kote huko ilikuwa ni machozi ya mamba ya kuwafanya wasio na ufahamu wa mambo haya wapumbazike na waamini kweli kuwa kuna mtu kafa na kuna msiba pale....!

Wenye macho ya "kiroho" waliliona hilo, wakakataa kushiriki "ibada hiyo haramu ya sanamu"....

Hatuombi na wala sitamani lakini niseme kama sehemu ya mjadala huu, kwamba, miongoni mwa watu waliogusa maisha ya wengi hapa Tanzania ni mzee Reginald Mengi...

Ikitokea huyu mzee aitwe leo, trust me hatapata treatment ya mazishi ya "kiserikali" kama alivyopata huyu ndugu yetu Ruge kwani kwa vipimo vyote hawezi kulingana hata chembe tu na Mzee Reginald Mengi ktk mchango wake wa kuigusa jamii kwa namna ile au hii...!!

Scenario hii ni similar na inawahusu pia watu sampuli ya kina Mzee Bakheresa, Mo Dewji na wanaofanana na hao.....

Why?

Hawana shirika nao katika ulimwengu wa kwao (spiritual world) zaidi ya kuwa walipa kodi wao tu!!
Mkuu unaweza kuta nao wanashirika.
 
Kiranja Mkuu akawa wa kwanza kuujulisha umma wa watanzania kuhusu msiba,na kujihusisha full..Mwenzake akapewa special recognition(lol).haya bana..Walijua ndio wakati muafaka wa kuuza sura Nchi nzima kwa wakati mmoja.Attention na sifa wamezipata.Hongera zao.Ama kweli kufa kufaana..
Stay blessed
 
Jiwe walilolikataa waashi kwa hakika limekuwa jiwe kuu la msingi.


iPhone 7plus
 
Ruge kafanya kipi kwa vijana mkuu,

Taifa hili limekuwa la hovyo hovyo kwa sababu ya wanafiki kama ninyi,

Ruge alikuwa ni mfanyabiashara tu na itakuwa sahihi zaidi tukisema jamaa alikuwa ni mjasiriamali mashuhuri


Miaka yote wasanii wamelia sana wananyonywa hamkuyayema hayo mazuri leo amelala ndo mnayasema mazuri

Acheni unafiki
Walimshitaki kwenye mahakama ipi kwa huo unyonyaji? Na wewe ni miongoni mwa makopo ya Dudubaya? Acheni watu wamsifie wapendavyo kama haikuhusu unakausha.
 
Kama hadi kahaba kama Mange Kuna wajinga wanamu-address Ni dada wa taifa hili,nini Ruge?
 
mkuu hata wewe, dunia ya habari na taarifa haujui role ya Ruge nchi hii

hivi maofisini mnafanyaje kazi kama hamuwezi kufanya simple research tu?

Nasema bila kupepesa macho Ruge wa kawaida sana tena sana.
 
Watu waliolikuza hawana taswira nzuri kwenye jamii, hivyo wametumia tukio hilo kutaka kujionyesha ni watu wema. Kwa sasa kuzikana kunaangalia itikadi, hivyo huyo kwakuwa hakuwa wa siasa za majukwaani ndio ametumika kutakatishia nyota zao.
Acha uongo bwana.huo ni muono wako

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Acheni kuimba wimbo kwa mkumbo tuambieni alichowafanyia marehemu Ruge mpaka kumpa sifa si zake.

Acheni kukufuru, acheni kujipendekeza, hata Mungu hawaelewi kwann mnampa sifa ambazo si zake!

Binafsi namuona Ruge ni mfanyabiashara kama Dialo au Mama Rwakatare maana wote ni wajasiriamali.

Kama huna alichokufanyia na bado unamsifia basi kwenye kundi la wanafiki nawewe umo.

Eti kaka wa Taifa hata aibu hamuoni? Labda mngesema kaka wa clouds.
 
Cement, yale matofali na zile tiles za bei poa ndo inafika 4,000,000 hawa wangejenga kaburi kama la H.I.D Awolowo kaburi lenye Air Condition wangesema kaburi limefika 50,000,000
ulishajenga mkuu, hata kivanda cha kuuza ndizi t?
 
Back
Top Bottom