TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Yani hadi inakera sasa, Ombeni Rude Day mlieeee, msemeee, mkichoka mrudi tujadili mambo ya maana.
 
Ruge alikuwa giant kwenye tasnia ya burudani.Wengi wanapita mulemule alipopita marehemu. Vitu vingi katika burudani vina mkono wake. Na kwenye siasa alishiriki lakini hakuwa mtu wa kujipa promo, yule jamaa angetaka hata vyeo vya kisiasa angekuwa na cheo kikubwa tu.
Anastahili ile heshima aliyopewa.
 
Wewe ni mpuuzi, mbona hujasema harakati za Lissu zilivyogusa maelfu ya watanzania?, Hujui kuwa Lissu ni mwanasheria wa madini na ndiye alie tetea wananchi wasiondolewe ovyo ili kumpisha mwekezaji Barrick gold mine kule Bulyanhulu na Geita Gold mine?

Kama hujui hayo na huna taarifa za kutosha kuhusu Lissu kwa nini unaanzisha mada ya kumlinganisha mtu ambae humfahamu?
Pumbavu wewe!
 
Wenzio wanajuana......

Tukio la kifo cha "mwenzao" huyo kwao ni "ibada" yao muhimu kuliko unavyofikiri......

They know exactly hata utaratibu wa kufa kwake. Kulia kwao kote huko ilikuwa ni machozi ya mamba ya kuwafanya wasio na ufahamu wa mambo haya wapumbazike na waamini kweli kuwa kuna mtu kafa na kuna msiba pale....!

Wenye macho ya "kiroho" waliliona hilo, wakakataa kushiriki "ibada hiyo haramu ya sanamu"....

Hatuombi na wala sitamani lakini niseme kama sehemu ya mjadala huu, kwamba, miongoni mwa watu waliogusa maisha ya wengi hapa Tanzania ni mzee Reginald Mengi...

Ikitokea huyu mzee aitwe leo, trust me hatapata treatment ya mazishi ya "kiserikali" kama alivyopata huyu ndugu yetu Ruge kwani kwa vipimo vyote hawezi kulingana hata chembe tu na Mzee Reginald Mengi ktk mchango wake wa kuigusa jamii kwa namna ile au hii...!!

Scenario hii ni similar na inawahusu pia watu sampuli ya kina Mzee Bakheresa, Mo Dewji na wanaofanana na hao.....

Why?

Hawana shirika nao katika ulimwengu wa kwao (spiritual world) zaidi ya kuwa walipa kodi wao tu!!
Alipata alivyokufa mtoto wake na ndege ya serikali ilitolewa bure mkuu... Mengi anatambulika na kuheshimika zaidi
 
Ni utamaduni, desturi Na tamaduni zetu kusema mazuri tu hata kama kuna mapungufu Kwa marehemu, huu utamaduni mnaotaka kuuleta ni utamaduni Wa ajabu Na haukubaliki. Naamini hata kwenye dini zetu huu utaratibu Wa kumsema vibaya marehemu haukubaliki. Na kuhusu kusifiwa MTU akishakufa ni jambo la kawaida hata wewe ukifa utasifiwa, hatuwezi kuzuia watu kueleza sifa za mtu eti kwasababu ameshakufa.
Mkuu hebu ni darasa hapa mfano marehemu kilichomfanya afe ni wizi alipigwa Hadi akafa siku ya kusoma wasifu wake mtaacha kusema mabaya yake ?

Kama ndo ivyo mnataka jamii ijifunze Nini kutoka kwake ? ( Case ya huyu naye mzungumzia hapa )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ruge kafanya kipi kwa vijana mkuu,

Taifa hili limekuwa la hovyo hovyo kwa sababu ya wanafiki kama ninyi,

Ruge alikuwa ni mfanyabiashara tu na itakuwa sahihi zaidi tukisema jamaa alikuwa ni mjasiriamali mashuhuri


Miaka yote wasanii wamelia sana wananyonywa hamkuyayema hayo mazuri leo amelala ndo mnayasema mazuri

Acheni unafiki
Ukiwa hai utalaumiwa, ukifa utasifiwa..ni kanuni zetu watu weusi..lakini ukiona hivyo jua wanyonywaji walikuwa wachache kuliko aliowanufaisha..jk alipokuwa madaraani alitukanwa, alidhalilishwa, alibezwa..leo anasifiwa tu kwa mema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GT tunapenda maoni tofauti, kudos, ila its true, the guy his business, wanadai mpaka kufikia ukurugenzi, alipoanzia alikuwa akifanya kazi kama volunteer tu! Bila malipo au malipo kiduchu, he made his bones, lazima apewe sifa zake..
 
Wewe nae unapotea sana siku hizi, halafu sijui why JF nimekuwa mzito kweli kweli kuingia..Msiba ndio umenileta leo maana insta naona hapana issue, nilitaka kujua watu wanasemaje kuhusu mjane mjuaji, maana huyu mvujisha siri za baba watoto nilimtapika kabisa.
Yaan na huyu ndio atakuwa kachangia sana hiki kifo aisee, kwanza kamtema jamaa kama haitoshi kavujisha voice note. Akaona bado hajaridhika akaenda kuungana na wasafi ambao ni mahasim wa mzazi mwenzie, ile kuungana nao tu ni kwamba ht siri za marehem za kazi lazima atakuwa ali share nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom