Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What was the position, in spiritual eyes?Alikuwa nacho, lakini you can't see with your fresh and blood eyes!!
Alipata alivyokufa mtoto wake na ndege ya serikali ilitolewa bure mkuu... Mengi anatambulika na kuheshimika zaidiWenzio wanajuana......
Tukio la kifo cha "mwenzao" huyo kwao ni "ibada" yao muhimu kuliko unavyofikiri......
They know exactly hata utaratibu wa kufa kwake. Kulia kwao kote huko ilikuwa ni machozi ya mamba ya kuwafanya wasio na ufahamu wa mambo haya wapumbazike na waamini kweli kuwa kuna mtu kafa na kuna msiba pale....!
Wenye macho ya "kiroho" waliliona hilo, wakakataa kushiriki "ibada hiyo haramu ya sanamu"....
Hatuombi na wala sitamani lakini niseme kama sehemu ya mjadala huu, kwamba, miongoni mwa watu waliogusa maisha ya wengi hapa Tanzania ni mzee Reginald Mengi...
Ikitokea huyu mzee aitwe leo, trust me hatapata treatment ya mazishi ya "kiserikali" kama alivyopata huyu ndugu yetu Ruge kwani kwa vipimo vyote hawezi kulingana hata chembe tu na Mzee Reginald Mengi ktk mchango wake wa kuigusa jamii kwa namna ile au hii...!!
Scenario hii ni similar na inawahusu pia watu sampuli ya kina Mzee Bakheresa, Mo Dewji na wanaofanana na hao.....
Why?
Hawana shirika nao katika ulimwengu wa kwao (spiritual world) zaidi ya kuwa walipa kodi wao tu!!
Le Mutuz hakuwepo katika kuaga mwili, na yule hakosi shughuli
Watu mashuhuri kama Ruge ndiyo ma super best friends wakeKweli mkuu,na mi ndio umenifungua macho saa hizi,the guy was not around...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata liwe la elfu moja, la bure, la biillion moja lanamsaidia nini walati huu?
Mkuu hebu ni darasa hapa mfano marehemu kilichomfanya afe ni wizi alipigwa Hadi akafa siku ya kusoma wasifu wake mtaacha kusema mabaya yake ?Ni utamaduni, desturi Na tamaduni zetu kusema mazuri tu hata kama kuna mapungufu Kwa marehemu, huu utamaduni mnaotaka kuuleta ni utamaduni Wa ajabu Na haukubaliki. Naamini hata kwenye dini zetu huu utaratibu Wa kumsema vibaya marehemu haukubaliki. Na kuhusu kusifiwa MTU akishakufa ni jambo la kawaida hata wewe ukifa utasifiwa, hatuwezi kuzuia watu kueleza sifa za mtu eti kwasababu ameshakufa.
Ukiwa hai utalaumiwa, ukifa utasifiwa..ni kanuni zetu watu weusi..lakini ukiona hivyo jua wanyonywaji walikuwa wachache kuliko aliowanufaisha..jk alipokuwa madaraani alitukanwa, alidhalilishwa, alibezwa..leo anasifiwa tu kwa mema.Ruge kafanya kipi kwa vijana mkuu,
Taifa hili limekuwa la hovyo hovyo kwa sababu ya wanafiki kama ninyi,
Ruge alikuwa ni mfanyabiashara tu na itakuwa sahihi zaidi tukisema jamaa alikuwa ni mjasiriamali mashuhuri
Miaka yote wasanii wamelia sana wananyonywa hamkuyayema hayo mazuri leo amelala ndo mnayasema mazuri
Acheni unafiki
Alikuwepo tena alipiga Kanzu lake la Unjano flani hivi.Kweli mkuu,na mi ndio umenifungua macho saa hizi,the guy was not around...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan na huyu ndio atakuwa kachangia sana hiki kifo aisee, kwanza kamtema jamaa kama haitoshi kavujisha voice note. Akaona bado hajaridhika akaenda kuungana na wasafi ambao ni mahasim wa mzazi mwenzie, ile kuungana nao tu ni kwamba ht siri za marehem za kazi lazima atakuwa ali share nao.Wewe nae unapotea sana siku hizi, halafu sijui why JF nimekuwa mzito kweli kweli kuingia..Msiba ndio umenileta leo maana insta naona hapana issue, nilitaka kujua watu wanasemaje kuhusu mjane mjuaji, maana huyu mvujisha siri za baba watoto nilimtapika kabisa.
Na bado akaachwa, ila mambo mengine jamaniUwiiiiiiii jamani nimechekaaaaaa! Nimecheka kama kichaa, loooh bibie sio kwa kuvunja huko kiuno na tumbo lake.
Uke wenza una mambo?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Le Mutuz hakuwepo katika kuaga mwili, na yule hakosi shughuli
Situation aliyopitia hapa mwishoni, kufanyiwa ubabe wa ki mamlaka na kuunganisha na kuugua nayo imechangia pakubwa jamii kujenga sympath.
Wengi ni kama vile wanapambana kuonyesha hakutendewa haki.
Angefariki wakati mwingine isingekuwa hivi.
Kuna mh anadai yy ndio alikua msiri wa ruge,mh huyo huyo tukio la kupatikana kwa mo baada ya kutekwa yy ndio alikua wa kwanza kutweet!kiki zingine hizi!
Asante kakaDada! Huyo kubwajingwa alikuwepo Karimjee, alivaaa kanzu ya njano! Muda mwingi alikuwa anacheka Cheka tu
Sent using Jamii Forums mobile app