TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Mzee Wa fursa atabaki kuwa baba Wa taifa Wa vijana Kwa mchango wake Kwa vijana walio wengi, wewe kama hutaki usimuite hivyo kwani kuna ubaya???

hakuna ubaya mimi kukataa hilo sasa wewe unaumia nini mkuu, mimi na kataa sio baba wa taifa wa vijana ila wa kundi lenu la bongo fleva. unauhuru wako na nina uhuru wangu mkuu
 
Dudu baya akiwataja mnakasirika.
Kutaja kila mtu anaweza kutaja, Dudubaya maisha yamempiga sasa anatafuta kiki Kwa nguvu na umri ndio umeshamtupa. Unajua maisha yakikupiga unamuona kila aliyefanikiwa ni adui kwako, badala ya mtu kupambana kimaisha anapambana kutukana waliofanikiwa.
 
Kutaja kila mtu anaweza kutaja, Dudubaya maisha yamempiga sasa anatafuta kiki Kwa nguvu na umri ndio umeshamtupa. Unajua maisha yakikupiga unamuona kila aliyefanikiwa ni adui kwako, badala ya mtu kupambana kimaisha anapambana kutukana waliofanikiwa.
Maisha yamempiga anakula kwako ?
 
Baada ya Nifah kukuita shogake ulisema unaondoka now umerudi tena...umbea kama uko damuni huwezi kuvumilia bwana[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hukujua bado ..nilimaanisha kuondoka vipi.
Na hapa siongei umbea...wala kusikiliza umbea...

Labda kwa wanao fikiri na kutoa majubu ya jumla kama hivyo!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ruge kafanya kipi kwa vijana mkuu,

Taifa hili limekuwa la hovyo hovyo kwa sababu ya wanafiki kama ninyi,

Ruge alikuwa ni mfanyabiashara tu na itakuwa sahihi zaidi tukisema jamaa alikuwa ni mjasiriamali mashuhuri


Miaka yote wasanii wamelia sana wananyonywa hamkuyayema hayo mazuri leo amelala ndo mnayasema mazuri

Acheni unafiki
Sisi waTz Watu wa ajabu sana
 
[emoji23][emoji23][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]khantwe wew una shda..nilitaka sema hvyp hvyp nikaona nipotezee hainisaidii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..umbea ni kitu kingine..ila mie sipend men awe mdaku jaman[emoji23][emoji23][emoji23]nakuaga baridiii
Udaku upi ?

Wamezungumza wengi tu wanaume humu..

Tatizo ni kuchangia uzi au kumtetea zama??

Yaishe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaweza enda mpk bukoba kuhakikisha Kama kweli anazikwa maana ruge alimtetemesha

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya Ruge hakukubali kuwekwa mkononi na bashite...

Ukijumlisha na ya nyuma ya pazia .
ndio kabisa!

Wenzie kina majizo wametulia mfukoni mwake...
Mpaka habari za ndoa yeye ndo mpangaji.
Ila wasijisahau..hakawii kugeuza kibao ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilichonishangaza ni clouds kutaka achangiwe msaada wa matibabu kana kwamba wana shida walizovuna fiesta wameandaa sana matamasha chini ya kiwango kwa promo kubwa watu walisimama jioni mpaka asubuhi kiingilio wametoa na bado wanaambiwa mikono juu plus vumbi, faida ya kumiliki media, kumanage wasanii, walizovuna tatu mzuka na supa5 hawa watu network marketing wanaijua vizuri na wamevuna sana ila hadi kwenye matibabu na msiba NO hata kama kufa kufaana this is too much, Kuna shida mahali Ni kana kwamba wamewaona Tanzanians Mindlessness? Hii ni kuchekeleana kisa wana media na promo wanaijua? Watu wangapi wa kuchangiwa ila hawawasaidii? Hivi watanzania mmelogwa? Vijana wawaharibie na miziki mibovu isiyo na maadili hadi kilichopo mfukoni nacho wanakitaka kwa kila njia
Wanasiasa nao wamechukulia kama mtaji wa kisiasa na watanzania nao wameyumba
shame
 
Sababu nyingine ni msaada wa Ruge kwenye kampeni Muhimu za Ccm 2015, Ruge aliratibu kutengeneza majukwaa Yote na akaleta wasanii wote kwa ajili ya kuperfom kila mkoa Ccm ilipofanyia kampeni zake. Hakuishia hapo akaenda redion kufanya fitna za kukipamba chama.

Mbali na mengineyo ni ukweli usiopingika Ruge alifanya kazi kubwa sana kuwaweka Ccm wawe hapo walipo leo. Ndio reason magufuli anamuitaga Ruge "kijana wangu" aliplay role kubwa kuhakikisha magufuli anakuwa Rais. The same na kwa kikwete.

Ndio maana Ruge ni zaidi ya makada wengi akiwa hajawahi kuvaa gwanda za uvccm.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwa nini sasa Bashite alivamia ofisi zake?
 
Back
Top Bottom