Boss hawezi kuwa wa kawaida kwa sababu umesema. Kilichotokea kwake kimetokea na hakifutiki regadles ya unavyoona ww. Ndo maisha yalivyo. Kenge ni Kenge na mamba ni mamba. Maoni ya mijusi hayawezi kumbadili Mamba kuwa Kenge.Nasema bila kupepesa macho Ruge wa kawaida sana tena sana.
Makofi mengi kwakoSasa huyo said kweli anajulikana kama Ruge? Ruge hakua na active account kwenye social media, hakuwa mtu wa bling bling, hakuwa frontier kwenye concerts alikua frontier kwenye seminars fursa, kipepeo, Malkia wa nguvu yaani matukio yanayogusa watu, njia panda kawaruhusu wengi tu kwa mamia waende clouds kuelezea shida zao na wanasaidiwa, kafanya charity events nyingi za kutibu zaidi ya watoto 150 moyo na kusomesha yatima na wanyonge lukuki sasa huyo fela anaingiaje kwenye lane ya Ruge?
Hivi promoter wa Mr Nice unamfahamu? Kuna mwanamziki aliegusa hii East Africa na Kati kama Mr Nice?
Sio kila mtu atapata attention aliyopata Ruge na wala kuipata hiyo attention sio kazi ndogo kama unabisha nenda na wewe kadeal na wasanii tukuone.
Dah basi kweli alikuwepo maana hizo ndio kampani moja toka enzi zile,hapo naona walikuwa wanakumbushana mengi ya zamani....Lemutuz alikuwepo,na alikaa na Mboni Masimba
clouds bana kama kuna kitu wanajua ....ni kufanya promo / marketting......jambo lao lazima litakua la nchi nzima (thanx to the late ruge)...yani hyo fiesta ukiisikia inavyotangazwa na ukienda kuionaa....unaweza baki mdomo wazi!...we jiulize tuu clouds wameajiri watu wangapi...lakini ni ma elfu ya wa tz wana mrefer to jamaa as "boss ruge"....yani ukiangalia tv hapa juzi baada ya msiba...unaweza jukuta unalia unajiuliza ivi bila boss ruge mimi ningekua wapia aisee.....baadae akili zikikurudia ndio unasema "allah, ivi mimi kumbe ni mwalimu tuu washule ya msingi fulani , hata Ruge mwenywe nilikua simjui,,,shetani shidwaaa!"
Duh..Akili yako haina akili wewe imani yako ni Uislam inabidi tui heshimu na wengine ni Wakristo inabidi pia tui heshimu wengine kama sisi imani yetu ni ya ki Afrika inabidi tu heshimiwe na wengine hawana dini.. kwa kutojitambua unataka watu wote wafanane wawe waislamu..
Unamaanisha nini?Akili yako haina akili wewe imani yako ni Uislam inabidi tui heshimu na wengine ni Wakristo inabidi pia tui heshimu wengine kama sisi imani yetu ni ya ki Afrika inabidi tu heshimiwe na wengine hawana dini.. kwa kutojitambua unataka watu wote wafanane wawe waislamu..
Kwani makaburi ya waislamu hayana gharama?......... Acha hizo!Akili yako haina akili wewe imani yako ni Uislam inabidi tui heshimu na wengine ni Wakristo inabidi pia tui heshimu wengine kama sisi imani yetu ni ya ki Afrika inabidi tu heshimiwe na wengine hawana dini.. kwa kutojitambua unataka watu wote wafanane wawe waislamu..
LISSU LISSU LISSUMajeruhi Lissu
- Anamsimamo kwa mambo anayoyasimimamia, kama kuyumba ni kwa asilimia chache.
- Tofauti ma majeruhi wengine wa watu wasiojulikana mfano Ulimboka, hajakatisha harakati zake.
- Mengine ni makamanda wanaweza kusaidia
Hayati Ruge
- Harakati zake zimegusa mamilioni ya watanzania katika biashara, burudani, sanaa, afya na uchumi.
-Ameinua tasnia ya habari, chombonchake clouds fm nimewahi kukiona ndani ya top ten ya redio bora afrika.
etc wadau mnafahamu mengi zaidi.
nani unadhani anastahili kuwa kaka wa taifa?
Ujinga mtupu.
Amemshambulia bila sababu ya msingi.Tunatofautiana sana.Duh..
Hapo dini imetokea wapi tena.
Issue ni gharama za kaburi, haija ongelewa dini ya mtu hapo.
Kuwa mstahamilivu.
Ukiangalia kwa kiasi kikubwa Cha watu waliojitekeza kumzika ruge ni dhahili watanzania wengi ni majobless na Wala si kana kwamba wanamapenzi mazito dhidi ya uyo jamaa lakin serikali hii kipofu yenyewe yaona fahari kwa ule wingi na kuzani ni mapenzi dhidi yake kumbuka mahala popote wanapokuwa wasanii au watu maarufu kuwepo raia wengi ni kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app