TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Nasema bila kupepesa macho Ruge wa kawaida sana tena sana.
Boss hawezi kuwa wa kawaida kwa sababu umesema. Kilichotokea kwake kimetokea na hakifutiki regadles ya unavyoona ww. Ndo maisha yalivyo. Kenge ni Kenge na mamba ni mamba. Maoni ya mijusi hayawezi kumbadili Mamba kuwa Kenge.
 
Sasa huyo said kweli anajulikana kama Ruge? Ruge hakua na active account kwenye social media, hakuwa mtu wa bling bling, hakuwa frontier kwenye concerts alikua frontier kwenye seminars fursa, kipepeo, Malkia wa nguvu yaani matukio yanayogusa watu, njia panda kawaruhusu wengi tu kwa mamia waende clouds kuelezea shida zao na wanasaidiwa, kafanya charity events nyingi za kutibu zaidi ya watoto 150 moyo na kusomesha yatima na wanyonge lukuki sasa huyo fela anaingiaje kwenye lane ya Ruge?

Hivi promoter wa Mr Nice unamfahamu? Kuna mwanamziki aliegusa hii East Africa na Kati kama Mr Nice?

Sio kila mtu atapata attention aliyopata Ruge na wala kuipata hiyo attention sio kazi ndogo kama unabisha nenda na wewe kadeal na wasanii tukuone.
Makofi mengi kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi comment balaa nimecheka kinoma
clouds bana kama kuna kitu wanajua ....ni kufanya promo / marketting......jambo lao lazima litakua la nchi nzima (thanx to the late ruge)...yani hyo fiesta ukiisikia inavyotangazwa na ukienda kuionaa....unaweza baki mdomo wazi!...we jiulize tuu clouds wameajiri watu wangapi...lakini ni ma elfu ya wa tz wana mrefer to jamaa as "boss ruge"....yani ukiangalia tv hapa juzi baada ya msiba...unaweza jukuta unalia unajiuliza ivi bila boss ruge mimi ningekua wapia aisee.....baadae akili zikikurudia ndio unasema "allah, ivi mimi kumbe ni mwalimu tuu washule ya msingi fulani , hata Ruge mwenywe nilikua simjui,,,shetani shidwaaa!"
 
Akili yako haina akili wewe imani yako ni Uislam inabidi tui heshimu na wengine ni Wakristo inabidi pia tui heshimu wengine kama sisi imani yetu ni ya ki Afrika inabidi tu heshimiwe na wengine hawana dini.. kwa kutojitambua unataka watu wote wafanane wawe waislamu..
Duh..
Hapo dini imetokea wapi tena.
Issue ni gharama za kaburi, haija ongelewa dini ya mtu hapo.
Kuwa mstahamilivu.
 
MI NILIJUA PEKE YANGU !
nimeshangaa mpka nikajihis aibu, kuwa nimeona wivu, kuwa namchukia , kuwa nina anything against him, kuwa alinitenda kitu kibaya!
NIKAGUNDUA WALA HAKUNA HATA MOJA KATI YA SABABU AMBAZO ZINGEFANYA MIMI KUSHANGAA!
mwisho kabisa nikasema!
HEBU MENGINE YANIPITE, SIO KILA KITU LAZIMA NIKIELEWE!!
nikabaki na amani zangu!
 
Hakuna Kijana wa miaka 49 na hajaoa huyo ni mzee mtu alikua anakaribia nusu karne halafu anaitwa kijana labda sababu Clouds wanaajiri watu wasio na elimu
 
Nilijua huu uzi lazima utakuja,things come and go brother,hata huu uzi nao umekuja na utakwenda kama alivyokwenda bwana Ruge,kuzikwa kifahari zote ni mbwembwe tu za wanadamu,at end of the day wote tutachimbiwa shimo na kufukiwa and that is the end of our story,cha muhimu ni je ulijiandaaje kwa ajili ya ulimwengu ujao..?
 
Akili yako haina akili wewe imani yako ni Uislam inabidi tui heshimu na wengine ni Wakristo inabidi pia tui heshimu wengine kama sisi imani yetu ni ya ki Afrika inabidi tu heshimiwe na wengine hawana dini.. kwa kutojitambua unataka watu wote wafanane wawe waislamu..
Unamaanisha nini?
 
Akili yako haina akili wewe imani yako ni Uislam inabidi tui heshimu na wengine ni Wakristo inabidi pia tui heshimu wengine kama sisi imani yetu ni ya ki Afrika inabidi tu heshimiwe na wengine hawana dini.. kwa kutojitambua unataka watu wote wafanane wawe waislamu..
Kwani makaburi ya waislamu hayana gharama?......... Acha hizo!
 
Majeruhi Lissu
- Anamsimamo kwa mambo anayoyasimimamia, kama kuyumba ni kwa asilimia chache.
- Tofauti ma majeruhi wengine wa watu wasiojulikana mfano Ulimboka, hajakatisha harakati zake.
- Mengine ni makamanda wanaweza kusaidia


Hayati Ruge
- Harakati zake zimegusa mamilioni ya watanzania katika biashara, burudani, sanaa, afya na uchumi.
-Ameinua tasnia ya habari, chombonchake clouds fm nimewahi kukiona ndani ya top ten ya redio bora afrika.

etc wadau mnafahamu mengi zaidi.


nani unadhani anastahili kuwa kaka wa taifa?
LISSU LISSU LISSU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiangalia kwa kiasi kikubwa Cha watu waliojitekeza kumzika ruge ni dhahili watanzania wengi ni majobless na Wala si kana kwamba wanamapenzi mazito dhidi ya uyo jamaa lakin serikali hii kipofu yenyewe yaona fahari kwa ule wingi na kuzani ni mapenzi dhidi yake kumbuka mahala popote wanapokuwa wasanii au watu maarufu kuwepo raia wengi ni kawaida


Sent using Jamii Forums mobile app

serikali inaingiaje hapa?
 
Back
Top Bottom