TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba


I rest my Case....
 
Good opinion but one thing it's lacking sense[emoji4] One of the richest guy in South Africa sends his condolences and you will still say its overrated.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

bravo
 
Unataka kuniambia mchango wake kwa vijana alikua anufaiki nao(maslai)?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wana nature ya ujinga na uvivu wa kujifunza au kujielimisha na kupata taarifa sahihi juu ya jambo lolote kwa kutumia akili binafsi katika haya maisha.

Wanapoona jambo au kusikia kitu, hatua yao ya kwanza ni kutazama wengi wamereact vipi ili nao wafanye the same reaction. Kwa kifupi ni mabendera fuata upepo. Ni wavivu kushirikisha vichwa vyao katika kutafakari maisha na namna zake.

Ndio maana usishangae inshu kama kilimo cha matikiti, wanafunzi wa chuo kuchagua ualimu, magraduate wa chuo kukimbilia jeshini ili watoke kimaisha, inshu ya kikombe cha babu wa loliondo na mengineyo mengi ni matokeo ya watanzania ya kutokufikiri kwanza ila kukurupuka kwa kufuata mkumbo.

Tabia ya kufuata mkumbo huwa ni tabia ya watu wanafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…