TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Mwache Ruge aenziwe ni Mtanzania aliyeamsha bongo zikizolala. Akitembea nchi zima kukumbusha vijana kuwa fursa zipo wasikimbilie kulaumu, kuzamia n.k. Kuwaenzi wakina mama kwa njia tofauti kabisa na mengine mengi.

Alipromote mawazo chanya bila ubaguzi. Kama wewe hulioni hilo wengine wameliona na tunashukuru serikali imeliona. Tangulia Ruge.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ni nani? Sema baadhi ya viongozi kwa wanalolijua wao. Ilipovamiwa Clouds mbona hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya waliomvamia tunaye mtukuza leo!
Dudubaya aachiliwe, mbona hafikishwi mahakamani?
Aliishaachiwa kwa kigezo kuwa katoroka Central ha ha!
 
Mwache Ruge aenziwe ni Mtanzania aliyeamsha bongo zikizolala. Akitembea nchi zima kukumbusha vijana kuwa fursa zipo wasikimbilie kulaumu, kuzamia n.k. Kuwaenzi wakina mama kwa njia tofauti kabisa na mengine mengi.

Alipromote mawazo chanya bila ubaguzi. Kama wewe hulioni hilo wengine wameliona na tunashukuru serikali imeliona. Tangulia Ruge.


Sent using Jamii Forums mobile app
Amina amina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ruge kafanya kipi kwa vijana mkuu,

Taifa hili limekuwa la hovyo hovyo kwa sababu ya wanafiki kama ninyi,

Ruge alikuwa ni mfanyabiashara tu na itakuwa sahihi zaidi tukisema jamaa alikuwa ni mjasiriamali mashuhuri


Miaka yote wasanii wamelia sana wananyonywa hamkuyayema hayo mazuri leo amelala ndo mnayasema mazuri

Acheni unafiki
Heshima yako
 
Kwangu mimi bila unafki huyo jamaa hajanisaidia kwa lolote kwahio namtakia safari njema huko aendako tu. I also find msiba umekuwa too freaking much. Hakuna ambae hajafiwa ila maombolezo kufanywa kama ni Catastrophic issue inanipa ukakasi flani.
 
Back
Top Bottom