Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameguswa nini labda, hebu fafanua juu ya hicho walichoguswa!Inashangaza kweli kuna wengine wapo huku kwetu hata clouds haishiki ila wameguswa nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliishaachiwa kwa kigezo kuwa katoroka Central ha ha!Serikali ni nani? Sema baadhi ya viongozi kwa wanalolijua wao. Ilipovamiwa Clouds mbona hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya waliomvamia tunaye mtukuza leo!
Dudubaya aachiliwe, mbona hafikishwi mahakamani?
Please naomba nipewe Mimi aiseee!Naomba ile free pass ya marehemu Ruge ya kuingia Ikulu apewe DUDUBAYA ili aweze kuendeleza mapambano
Amina aminaMwache Ruge aenziwe ni Mtanzania aliyeamsha bongo zikizolala. Akitembea nchi zima kukumbusha vijana kuwa fursa zipo wasikimbilie kulaumu, kuzamia n.k. Kuwaenzi wakina mama kwa njia tofauti kabisa na mengine mengi.
Alipromote mawazo chanya bila ubaguzi. Kama wewe hulioni hilo wengine wameliona na tunashukuru serikali imeliona. Tangulia Ruge.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba ile free pass ya marehemu Ruge ya kuingia Ikulu apewe DUDUBAYA ili aweze kuendeleza mapambano
Kwani serikali ndiyo nini? Kwa hiyo watu waliopewa dhamana ya kusimamia serikali wakianza kunya beach nawe utakunya?
So wewe unaona yamepitilizaa???? Unatamani ingekuwa wewe... sema ubaya ukifa watajua jirani na ndugu zako so wivu lazimaa...Kiukweli hata mimi imenishangaza...ndio maana hata Jiwe akaona is too much akaweka show ya Lowassa pale Lumumba ili kupunguza maombolezo yaliyopitiliza
Heshima yakoRuge kafanya kipi kwa vijana mkuu,
Taifa hili limekuwa la hovyo hovyo kwa sababu ya wanafiki kama ninyi,
Ruge alikuwa ni mfanyabiashara tu na itakuwa sahihi zaidi tukisema jamaa alikuwa ni mjasiriamali mashuhuri
Miaka yote wasanii wamelia sana wananyonywa hamkuyayema hayo mazuri leo amelala ndo mnayasema mazuri
Acheni unafiki
Ccm haoKuna watu fulani Wana uwezo wa kukifanya kinyesi na kikawasifiwa siku nzima
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app