Serikari imepata pa kujifichia aibu ya korosho ndio maana wana saport kwa nguvu kuwapotezea raia ,hii iko kimkakati zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
RUGE KIFO CHAKE KIMEKUWA FURSA
Serikali ni nani? Sema baadhi ya viongozi kwa wanalolijua wao. Ilipovamiwa Clouds mbona hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya waliomvamia tunaye mtukuza leo!
Dudubaya aachiliwe, mbona hafikishwi mahakamani?
Just leaving behind a wonderful legacy for others to emulate, otherwise haikuwepo nafsi hai kwa ulimwengu ujo kwani si wetuNilijua huu uzi lazima utakuja,things come and go brother,hata huu uzi nao umekuja na utakwenda kama alivyokwenda bwana Ruge,kuzikwa kifahari zote ni mbwembwe tu za wanadamu,at end of the day wote tutachimbiwa shimo na kufukiwa and that is the end of our story,cha muhimu ni je ulijiandaaje kwa ajili ya ulimwengu ujao..?
Kwani ulisha wahi kuona wa huo usalama wamezikika Kama huyu?
Naomba ile free pass ya marehemu Ruge ya kuingia Ikulu apewe DUDUBAYA ili aweze kuendeleza mapambano
Na hapa ndipo penye shida. Maadhal boss alitoa gharama za matibabu na amekuwa wa kwanza kututangazia msiba, basi eti limekuwa swala la kitaifa ?!.
MI NILIJUA PEKE YANGU !
nimeshangaa mpka nikajihis aibu, kuwa nimeona wivu, kuwa namchukia , kuwa nina anything against him, kuwa alinitenda kitu kibaya!
NIKAGUNDUA WALA HAKUNA HATA MOJA KATI YA SABABU AMBAZO ZINGEFANYA MIMI KUSHANGAA!
mwisho kabisa nikasema!
HEBU MENGINE YANIPITE, SIO KILA KITU LAZIMA NIKIELEWE!!
nikabaki na amani zangu!
Hivi kaka wa Taifa si anaeleweka jamaniii! Kaka'etu Mh. RC. Povu ruksaAcheni kuimba wimbo kwa mkumbo tuambieni alichowafanyia marehemu Ruge mpaka kumpa sifa si zake.
Acheni kukufuru, acheni kujipendekeza, hata Mungu hawaelewi kwann mnampa sifa ambazo si zake!
Binafsi namuona Ruge ni mfanyabiashara kama Dialo au Mama Rwakatare maana wote ni wajasiriamali.
Kama huna alichokufanyia na bado unamsifia basi kwenye kundi la wanafiki nawewe umo.
Eti kaka wa Taifa hata aibu hamuoni? Labda mngesema kaka wa clouds.
Mimi sitaki kuongelea mazishi ila nilikuwa naangalia upande wapili wa tukio. Nimegundua watu wengi wako mjini hawana kazi za kufanya kweli mtu na kazi zako utakaa masaa barabarani kusubiri mwili? watu wanaweza kuacha kazi na kwenda kuzika lakini sio kusimama barabarani ukichukulia ilikuwa siku ya kazi.
Kumbe hao ndiyo watu wake iweje taifa zima watuchoshe kama kwamba labda alikua mfadhili wa shule za kata, au labda alifadhili visima nchi nzima au labda alisaidia nchi kujenga reli ya SGR. Tumeingizwa kwenye maombolezo ya mfanyabiashara kwa fadhila alizomfanyia nandy na CCM kama vile nchi nzima ni nandy.Al marhumRuge ana watu wake aliowasaidia akina nandy,barnaba na watangazaji wake na CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkwe wafata mkumbo wanaweza kusema hizo ni chuki zako binafsi, yaani watu wameguswa kwelikweli utafikiri walishawahi kuibuka washindi wa 3 mzuka.MI NILIJUA PEKE YANGU !
nimeshangaa mpka nikajihis aibu, kuwa nimeona wivu, kuwa namchukia , kuwa nina anything against him, kuwa alinitenda kitu kibaya!
NIKAGUNDUA WALA HAKUNA HATA MOJA KATI YA SABABU AMBAZO ZINGEFANYA MIMI KUSHANGAA!
mwisho kabisa nikasema!
HEBU MENGINE YANIPITE, SIO KILA KITU LAZIMA NIKIELEWE!!
nikabaki na amani zangu!
Namekuelewa Sana mkuu! Watuambie kunanini nyuma ya pazia? Ruge ni mjaairiamali sawa na wwngine tu.Binafsi namuona Ruge ni mfanyabiashara kama Dialo au Mama Rwakatare maana wote ni wajasiriamali.
Kama huna alichokufanyia na bado unamsifia basi kwenye kundi la wanafiki nawewe umo.
Eti kaka wa Taifa hata aibu hamuoni? Labda mngesema kaka wa clouds.
Mbona msiba wa aliyawahi kuwa mkurugsenzi wa idara hiyo Imrani Kombe haukufanyiwa sherehe za kitaifa kiasi hiki?
Hahahahah.Inashangaza kweli kuna wengine wapo huku kwetu hata clouds haishiki ila wameguswa nao
Sent using Jamii Forums mobile app
suala haikuwa kuchukua BET, watu wanalalamika wakati wao ule wapo pick walitumika na hawakupewa stahiki zao. time yao ishapita!Mbona povu mzeee!?
Viongoz wa CDM wako ndan miez 3 nw bila kosa unaumia nn DDB Kukaa siku 3
Haya Ruge kafa tunataka kumwona huyo DD wenu akichukua tuzo BET[emoji57][emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app