Huyu jamaa anamaanisha nini?Mkuu unaweza kuta nao wanashirika.
Duh ila kanandy kazuri kukachomekea dushe huku umekabeba.
Hujasoma vizuri oni langu we mwanamke.
Pole Nandy
Naona kuna washapu humu wanatoa updates kila tukioohoo bas mtatupaga updates..wenye dstv hakuna kitu
Ngoja nije kwanza, nimetumwa kununu viatu vya Mrisho Mpoto.
yupo sahihi kama kuna Mkono wa Mtu Basi malipo yake na kikombe chake kitajaza na kufurikaDuh,hakuna ajiuye siri ya kifo aisee,u nani wewe hata utoe laana kwa watu?
Rip ndugu Ruge
hivi ni kweli hako kabinti kameachiwa kitumbo cha miezi kadhaa?