TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Nilitaka nikupe kongole na like, lakini hiyo sentensi ya mwisho imeharibu kila kitu, au ulikuwa unawai kwenda kuharisha
 
Hivi mpaka karne hii ya 21 kuna watu wenye akili mgando kama zako?

Eti kama "serikali imekubali".....yani akili za mtu mwenywe phd ya maganda ya korosho ndo zinakua kama ni dira na kioo cha maisha yako????

Dude!

Kama hujauona umuhim wa Ruge mpka dakika hii mm na ww nan mwenye akil mgando!?

Mtu aliegusa na kunyanyua vijana wengi....alieinsipire vijana kufanya kaz kwa bidii na kujipatia kipato

Mtu alietambua, kuvumbua vipaji vya wasan almost wote hapa tz na kuwasimamia ad wakawa na majina makubwa bado unamfananisha na bab yako!?

Kupitia yy ndo leo tunaiona THT inayozalisha vijpaji vya uimbaji bado unalalamika huon thaman yake

Kuna meng kafanya huyu jamaaa bahat nzur sio ktu wa shobo kutaka ajulikane kila kitu

Ww umegusa maisha ya vijana wangap apo mtaan kwako!?
Achen roho mbaya mwachen Ruge apewe heshima anayostahili


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hapa ndipo penye shida. Maadhal boss alitoa gharama za matibabu na amekuwa wa kwanza kututangazia msiba, basi eti limekuwa swala la kitaifa ?!.

Hata hivyo mimi sina tatizo naye, kwanza ni mtani wangu , alale pema pepon.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kagusa maisha ya wengi direct au indirect!!
Ndo mana hata alivoumwa gap lake lilionekana bila kificho
The guy was GENEOUS


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole nyingi sana kwa Zama na watoto wake, mapito anayopitia kwakweli ni Mungu tu ndio anajua.
Iliwahi kunitokea aisee nikaachiwa mtoto wa miaka miwili yaan sijawahi kusahau mpk leo. Nilikuwa naona kila kitu kibaya, nilitamani ht niache kazi ili niwe najifungia tu ndani.
Nikiona picha ya Zama na watoto wake nakumbuka kbs jinsi ilivyokuwa kwangu na mtoto wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.

Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.

Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.

Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Naona sasa umeanzà kuwa nabii.Umejuaje Ruge ameingia mbinguni? Au ni yaleyale ya chaguo la Mungu? Kwako Paskali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa heshima zote za kiserikali na kibinadamu na mapokezi aliyopata Marehemu Ruge, Je, alisitahili kuzikwa kwa ibada kuendeshwa na KATEKISTA?

Ukitilia maanani ukaribu wa familia ya marehemu na Askofu M. Kilaini

Ujirani uliopo kijijini kati ya Askofu na Prof. Mutahaba

Mazingira ya mwamko wa kidini ya RC uliopo hapo kijijini

Ujirani na Parokia yake ya Itahwa

Ushiriki wa viongozi hao wa dini katika kuaga mwili wa Marehemu hapo Bukoba Club/Gymkhana

Mwisho wa Mwisho ibada ya mazishi ikaishia kuendeshwa na KATEKISTA ikishuhudiwa viongozi hao wa kanisa kushindwa kushiriki ibada hiyo.

Kwanza Sio utamaduni wa eneo hilo kwa mtu kama wa aina ya Mutahaba.

Mwisho wa RUGE imekuwa simanzi kubwa kwani mbwembwe za mitaani zimezimwa na KANISA lake.

The very last RESPECT imeua yote.
Kwa uzoefu wangu Roman Catholic mtu akifa kama alikuwa amezaa nje ya ndoa yaani alizaa tu bila kuoa/kuolewa hazikwi na padre wala ibada nimeona kwingi ila huyu mshukuru hata katekista kuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana Yake NI kuwa hajawahi kushiriki Jumuiya ndogo ndogo, Hakuwa Anaenda Kanisani , Maisha Yake yalikuwa mbali na Kanisa.


Hilo liwe funzo kwa watu maarufu msifikiri nyie NI maarufu zaidi ya Kanisa Katoriki,

Anzeni Sasa kushiriki Ibada ya Jumuiya ndogo ndogo, Walau Mara mbili kwa mwezi,

Kanisani Jumapili usikosekane, Tunajuana,

Kama hujafunga ndoa kafunge ndoa.

Maisha ya uhuni weka kapuni.

Siku ukifa hata Askofu atakuja
 
Hilo ndio Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume ...Kanisa alilolianzisha Yesu peke yake...

Halidanganyi wala Halidanganyiki

Wapi imeandikwa yesu mwenyewe anasema sio anasemewa yeye mwenyewe kwenye biblia kuwa yeye kaanzisha kanisa katoliki au kasema yeye ni mkristo
 
kwa sababu hakufunga ndoa na amezaa watoto bila ndoa , pia alikuwa hashiriki sakalementi za kanisa na visakalamenti vyake huwa hivyo na wakati mwingine hawafanyi kitu kabisa.
Mhh hii leo nimejifunza kwa kweli. sisi dini nyingine hata kama huswali, hutoi sadaka na mlevi wa kutupwa au hata katili mwisho wa siku unaswaliwa kama wengine na tunaamini Mungu ndio mwenye kusamehe mkimuombea.
 
Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.

Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.

Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.

Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Mkuu kama umeandika kwa HASIRA hivi!!! Acha watu wazungungumze maana ndo raha ya slogan ya JF, where we dare to talk openly
 
Hahahaaaa! Mkuu nadhani hiyo mida nitoka kupiga pombe nyingi sana, tatizo nilikuwa nachanganya K Vant na beer, so i was a little bit sarcastic lakini hata hivyo, mada ilikuwa ni kati ya Lissu na marehemu ni nani kaigusa sana jamii, ndiyo ilikuwa topic, najaribu kuitafuta taratibu maana topic karibu zote za Ruge zimeunganishwa,

Lakini hata hivyo, hukustahili yale matusi ya pumbavu, naomba samahani kwa hilo.

Sio kweli maada haikuwa lisu na serikali maada ilikuwa ni clouds wasimu-overrate marehemu kwa kumuita majina asiyostahili

IMG_3042.JPG
 
Back
Top Bottom