grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Haya tuendeleee kupeana update kidogo kidogo View attachment 1038122
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora alikuwa GENEOUS na sio GENIUS!Kagusa maisha ya wengi direct au indirect!!
Ndo mana hata alivoumwa gap lake lilionekana bila kificho
The guy was GENEOUS
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimefiwa na bibi yangu leo nakuomba uhudhurie msibani mkuyuni mwanza ushuhudie sijinasibu kwa mabaya haya ila njoo ushuhudie
Peponi na jehanam ndo wapi huko mkuuMsianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.
Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.
Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Ndiko roho za binaadamu wote zinakokwenda kuishi milele. Kinachokufa ni mwili tuu, roho hazifi.
Mkuu Mgeni, yote usemayo ni kweli, ila kitakacho kuingiza mbinguni au peponi sio Ukatoliki wako, hata mimi ni Mkatoliki lakini amini nakuambia, kuna baadhi ya Wakatoliki sio tuu hawatauona ufalme wa Mungu, au watangia motoni, bali ndio watafanywa kuni kwa kuwapotosha wengine, wasio mjua Mungu, kwa kuaminishwa hayo wanayofundisha ndio mapenzi ya Mungu.Unachoongelea ni deen nyingine yenye utaratibu huo! Wakatoliki Hauwahusu! Wakatoliki Wanaamini IMANI BILA MATENDO IMEKUFA..Hivyo kwa mujibu wa IMANI KATOLIKI AMEPATA HAQI YAKE SAWA SAWA! Amevuna ALICHO PANDA HAKUNA WA KULAUMIWA!View attachment 1038208View attachment 1038209
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiko roho za binaadamu wote zinakokwenda kuishi milele. Kinachokufa ni mwili tuu, roho hazifi.
Eneo la peponi au mbinguni kwa Mungu na jehanum ya motoni kwa shetani, nalo pia ni omnipresent.
P
Nilitegemea nikukute humu [emoji12][emoji38][emoji23][emoji1787]Hilo ndio Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume ...Kanisa alilolianzisha Yesu peke yake...
Halidanganyi wala Halidanganyiki
Kwa heshima zote za kiserikali na kibinadamu na mapokezi aliyopata Marehemu Ruge, Je, alisitahili kuzikwa kwa ibada kuendeshwa na KATEKISTA?
Da Hustla, aliyeandika kitabu cha Mwanzo, kuwa Mungu alimuumba Adam na Eva, unamjua?, alijuaje?.Haya wewe umeyajulia wapi ilhali hakuna ambaye ashakwenda huko na akarudi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafahamu tofauti ya ibada na misa?Huwa inatokea kama alikuwa hashiriki ktk jumuia ya anakoishi hiyo kwanza wamempendelea....huwa mtu wa aina yake hafanyiwi ibada
Sent using Jamii Forums mobile app
Katekista hawezi kuongoza misa, kama ilikuwa ni ibada ni sahihi. Wewe ulitakaje aje huyu Askofu aliyepokea pesa za Escrow?Kwa heshima zote za kiserikali na kibinadamu na mapokezi aliyopata Marehemu Ruge, Je, alisitahili kuzikwa kwa ibada kuendeshwa na KATEKISTA?
Ukitilia maanani ukaribu wa familia ya marehemu na Askofu M. Kilaini
Ujirani uliopo kijijini kati ya Askofu na Prof. Mutahaba
Mazingira ya mwamko wa kidini ya RC uliopo hapo kijijini
Ujirani na Parokia yake ya Itahwa
Ushiriki wa viongozi hao wa dini katika kuaga mwili wa Marehemu hapo Bukoba Club/Gymkhana
Mwisho wa Mwisho ibada ya mazishi ikaishia kuendeshwa na KATEKISTA ikishuhudiwa viongozi hao wa kanisa kushindwa kushiriki ibada hiyo.
Kwanza Sio utamaduni wa eneo hilo kwa mtu kama wa aina ya Mutahaba.
Mwisho wa RUGE imekuwa simanzi kubwa kwani mbwembwe za mitaani zimezimwa na KANISA lake.
The very last RESPECT imeua yote.
Huko instagram wananzengo wanasema ruge kapewa sumu ya muda mrefu.
Ata alivyokwenda india walimuambia labda ajaribu SA matibabu.
Haikuwa tatizo la kubadili organ tu,
Wanasema alichukulia poa sana tatizo lake muda alioanza kuhangaika nje ilikuwa late
SIO MANENO YANGU , NMEONA INSTAGRAM kwa theoriginaleast
Sent using Jamii Forums mobile app