TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.

Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.

Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.

Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Peponi na jehanam ndo wapi huko mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachoongelea ni deen nyingine yenye utaratibu huo! Wakatoliki Hauwahusu! Wakatoliki Wanaamini IMANI BILA MATENDO IMEKUFA..Hivyo kwa mujibu wa IMANI KATOLIKI AMEPATA HAQI YAKE SAWA SAWA! Amevuna ALICHO PANDA HAKUNA WA KULAUMIWA!View attachment 1038208View attachment 1038209

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mgeni, yote usemayo ni kweli, ila kitakacho kuingiza mbinguni au peponi sio Ukatoliki wako, hata mimi ni Mkatoliki lakini amini nakuambia, kuna baadhi ya Wakatoliki sio tuu hawatauona ufalme wa Mungu, au watangia motoni, bali ndio watafanywa kuni kwa kuwapotosha wengine, wasio mjua Mungu, kwa kuaminishwa hayo wanayofundisha ndio mapenzi ya Mungu.

Tunapaswa kutenda mema wakati wote, ila tunaokolewa kwa neema tuu na sio kwa matendo.

Sijui ni wangapi wanajua kuwa Sauli yule mpinga Kristu mkuu ndie Mtume Paulo?. Uliyajua matendo yake akiwa Sauli?.

Lengo la hoja hiyo ni tusihukumu, tusije kuhukumiwa, the real salvation is only by the grace of The Lord's, The Almighty God.
P
 
Kwa heshima zote za kiserikali na kibinadamu na mapokezi aliyopata Marehemu Ruge, Je, alisitahili kuzikwa kwa ibada kuendeshwa na KATEKISTA?


Naye ni binadamu na haki kama wengine wowote
 
KUSHIRIKI IBADA MUHIMU SANA! Ruge alifanya ya dunia, akasahau ya Mungu, ikiwa ni pamoja na kushiriki ibada na taratibu za kanisa/dhehebu lake. Kanisa katoliki wanamsimamo sana, kuwa na watoto sio ishu, ila inawezekana walihitaji barua ya mwenyekiti wa jumuia kuthibitisha kuwa alikuwa anashiriki, ikikosekana , basi huna chako.

FUNZO:
Waumini wa imani zote, tujitahidi sana kubalance muda wetu, pamoja na mambo yote, lakini tuhakikishe kanisani/msikitin tunafika na kushiriki ibada na wenzetu kwa mujibu wa taratibu za makanisa yetu. Inawezekana kuzikwa kwa ibada/misa isiwe kitu mbele za Mungu, lakini sisi binadamu kwa macho ya nyama, inapendeza na kukupa heshima hata kwa wanaobaki.
 
Kwa heshima zote za kiserikali na kibinadamu na mapokezi aliyopata Marehemu Ruge, Je, alisitahili kuzikwa kwa ibada kuendeshwa na KATEKISTA?

Ukitilia maanani ukaribu wa familia ya marehemu na Askofu M. Kilaini

Ujirani uliopo kijijini kati ya Askofu na Prof. Mutahaba

Mazingira ya mwamko wa kidini ya RC uliopo hapo kijijini

Ujirani na Parokia yake ya Itahwa

Ushiriki wa viongozi hao wa dini katika kuaga mwili wa Marehemu hapo Bukoba Club/Gymkhana

Mwisho wa Mwisho ibada ya mazishi ikaishia kuendeshwa na KATEKISTA ikishuhudiwa viongozi hao wa kanisa kushindwa kushiriki ibada hiyo.

Kwanza Sio utamaduni wa eneo hilo kwa mtu kama wa aina ya Mutahaba.

Mwisho wa RUGE imekuwa simanzi kubwa kwani mbwembwe za mitaani zimezimwa na KANISA lake.

The very last RESPECT imeua yote.
Katekista hawezi kuongoza misa, kama ilikuwa ni ibada ni sahihi. Wewe ulitakaje aje huyu Askofu aliyepokea pesa za Escrow?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko instagram wananzengo wanasema ruge kapewa sumu ya muda mrefu.

Ata alivyokwenda india walimuambia labda ajaribu SA matibabu.

Haikuwa tatizo la kubadili organ tu,
Wanasema alichukulia poa sana tatizo lake muda alioanza kuhangaika nje ilikuwa late

SIO MANENO YANGU , NMEONA INSTAGRAM kwa theoriginaleast

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko instagram wananzengo wanasema ruge kapewa sumu ya muda mrefu.

Ata alivyokwenda india walimuambia labda ajaribu SA matibabu.

Haikuwa tatizo la kubadili organ tu,
Wanasema alichukulia poa sana tatizo lake muda alioanza kuhangaika nje ilikuwa late

SIO MANENO YANGU , NMEONA INSTAGRAM kwa theoriginaleast

Sent using Jamii Forums mobile app

Alichukulia poa ki vp mkuu kwamba alidharau?
 
Back
Top Bottom