TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Weka mstari wa biblia unaosema mtu akiombewa /akifanyiwa ibada au misa baada ya kufa atatoka jehanam kwenda toharani mkuu
Halafu pia usisahau kutuambia toharani imetajwa wapi kwenye biblia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mmaandiko uliyoyaweka hayakumaanisha kanisa physically, ni tafsiri ya kujenga imani, kanisa la roman catholic lilitoka huko urumi halikuanzishwa Israel alipokuwepo Yesu...
Hiyo ni tafsiri yako na sangoma wenzio. idiot.
 
Hakuna kilichozimwa na kanisa lake! ila hakuwa na vigezo vya kupata aina hiyo ya mazishi kutokana na kushindwa kuishi misingi yake akiwa hai. Boss hakuchagua kuishi kama Mkatoliki so amepata heshima kwa kadri ya stahili zake na pia ni kwa ukaribu huo unaousema ndio maana Katekista aliruhusiwa kuendesha hiyo ibada!!HAKUNA UTATA HAPO
 
You are surely a poor and bad teacher.
 
Yani ww inaonekana Afisa wa Serikali akikuomba Boga lazima utampa maana inaonekana serikali ikisema kitu ni sahihi....

Goodlucky
 
Hujalazimishwa kuwa mkatoliki. Kenge wewe! Ruge aliishi kihuni huni tu, halafu unataka apate heshima ya misa ya mazishi?
Inawezekana we jamaa ni wa dhehebu la aic au la ng'wanamalundi. Usilinganishe kanisa katoliki na vitu vya kijinga.
This is Catholic Church; the universal church.
 
Kumbe Waroman wanalilia kuzikwa na Mapadre kwa kuwa wanaamini Padre anaweza kumuombea mtu aliekufa akasamehewa dhambi
Zingatia: Misa za Wafu
Martin Luther kuondoka katika kanisa hakukosea
 

Mbinguni ni makao mema ya heri na furaha (2Kor 5:1, Ufu, 2:17). Waendao mbinguni ni wale wanaokufa katika hali ya neema ya utakaso na urafiki na Mungu na waliotakaswa kikamilifu. Pia Kanisa haliwezi kumpeleka Kanisani kwa Misa ya mazishi maana alikuwa haendi Kanisani na haliwezi kumtupa kama mpagani kabisa. Kanisa linamtumia Katekista afanye ibada kwenye maziko.
 
1. Sala ya Toba anaongozwa mtu???
2. Huyo anaeongoza Una uhakika yeye hana Dhambi??
3. Yule mnyang'anyi aliesulubiwa na Yesu msalabani lakini akatubu na kusamehewa dhambi alitubu moyoni au alisubiri mtu aje amuongoze kwa sala??
4. Wewe mwenyewe unapaswa kufanya Toba na Mola wako. Askofu, Mchungaji,Sheikh hana Mamlaka ya Kumuombea mtu msamaha
5.mtu akishakufa Kumbukumbu yake imesahaulika hata aje Paroko kumuombea hakuna kitu.
6. Hizo misa za kuwaombea Marehemu mnajisumbua tu. Nipe fungu la Biblia linalotaja Marehemu waombewe
 
Ndugu yangu Mkuu The Invincible, hakuna haja ya kutukanana "kenge wewe" na kuwahukumu marehemu wa watu, waachwe wapumzike, anayetoa huku ni Mungu mwenyewe, na hivi vitu ninavyowaambia hapa nyinyi wafia dini, usiviite vya kijinga, kwa sababu haya ninayoyazungumza humu ni mafundisho yake YEYE mwenyewe, ametufunza, "Tutaokolewa kwa neema na sio kwa matendo", hivyo hata mtu awe aliishi kihuni vipi na kanisa kugoma kumzika kwa heshima zote, wakovu haitokani na matendo yake bali ni neema tuu. Na wote wanaozikwa kwa sala na misa Takatifu, sio kigezo kuwa wao ndio wataenda mbinguni.
Mwacheni Ruge apumzike, tusinyooshe vidole na kumhukumu kwa maisha yake, yale ni maisha yake, ajuaye ya mbele ni Mungu pekee.
P
 
Kwa utaratibu Dhehebu la katoliki kama huna ndoa ya Kanisa na hushiriki Sakramenti Takatifu na Jumuiya ndogo ndogo ukifa huwezi kusomewa misa na Baba Padri. Huo ndiyo utaratibu wa dhehebu la Katoliki na hauwezi kuvunjwa na mtu yeyote na hapa hakuna urafiki hata Baba Askofu awe rafiki yako atafuata tu sheria.
 
Haya baba nimekusikia.
 
Matendo ya Mungu si ya mwanadamu amestahili alichopata kulingana na ushiriki wake katika mambo ya kiroho... Alichopata kinaitwa minimum service

Jr[emoji769]
 
Oooh pole mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-1.Usiingize karma wakati issue ni christianity
-2.Afadhali yaliyomkuta Ruge amepata katekista kuliko yalimkuta tajiri wa ngurudoto(waligoma kumzika kisa ushiriki wake kanisani)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…