Hanitoni
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,146
- 990
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huyo petro alieambiwa hivo ndo papa wetu wa kwanza mpk huyu wasasa.nadhani mpk hapa umejua kuwa Yesu ndo mwanzilishi wa katolikiWAPI ALIPOSEMA JUU YA MWAMBA NITALIJENGA KATOLIKI? MIMI NIMESOMA JUU YA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA LANGU, FULL STOP
Huwa nasikiliza PB ila tangu wameanza maombolezo nimeahamia 88.1Mimi ni mdau wa kipindi cha Clouds 360.
Leo nilipofuatilia kipindi nikamkuta Hassan Ngoma akiripoti kutokea msibani huko Bukoba ambapo tanga ndugu linaendelea na wafiwa waliolala msibani akiwemo Ngoma walikuwa wamemaliza kupata kifungua kinywa.
Ingependeza kama mtatujulisha wadau wenu ni lini mtarejea rasmi hewani baada ya kumaliza maombolezo.
Poleni sana
Maendeleo hayana vyama!
It's none of our business hata miaka mitano wanaweza ombolezaMimi ni mdau wa kipindi cha Clouds 360.
Leo nilipofuatilia kipindi nikamkuta Hassan Ngoma akiripoti kutokea msibani huko Bukoba ambapo tanga ndugu linaendelea na wafiwa waliolala msibani akiwemo Ngoma walikuwa wamemaliza kupata kifungua kinywa.
Ingependeza kama mtatujulisha wadau wenu ni lini mtarejea rasmi hewani baada ya kumaliza maombolezo.
Poleni sana
Maendeleo hayana vyama!
Asante sana DIVAPole sana baby Kabae!
Mimi ni Mkatoliki na huu ndio utaratibu wa Kanisa Katoliki, ila huu sio mpango wa Mungu, ni mpango wa Kanisa Katoliki tuu. Kitubio cha kweli ni mtubuji na Mungu wake, tena hata ukifanya kitubio kimoyomoyo, Mungu anasikia. Hizi baadhi ya sacraments ni kujiplease tuu.Kanisa katoliki halimlazimisha marehemu kutubu au kumsalia wakati yy alivokuwa hai hakufanya hivo
Sent from my SM-J120F using JamiiForums mobile app
Acha uboya, chukua rimoti, weka stesheni nyingine, Clouds wamempoteza nguzo yao, waache waombolezeMimi ni mdau wa kipindi cha Clouds 360.
Leo nilipofuatilia kipindi nikamkuta Hassan Ngoma akiripoti kutokea msibani huko Bukoba ambapo tanga ndugu linaendelea na wafiwa waliolala msibani akiwemo Ngoma walikuwa wamemaliza kupata kifungua kinywa.
Ingependeza kama mtatujulisha wadau wenu ni lini mtarejea rasmi hewani baada ya kumaliza maombolezo.
Poleni sana
Maendeleo hayana vyama!
Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.
Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.
Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Bwashee mbwiga mbona povu?!!Acha uboya, chukua rimoti, weka stesheni nyingine, Clouds wamempoteza nguzo yao, waache waomboleze
Kwani kuku anazikwa?Tena wamefanya kusitiri,na huenda kateksta amejiiba atafungiwa kama hakupewa ruhusa;kama hushiriki unazikwa kama Kuku,duh ngonja niwahi kitubio na kupata sakramenti
Sent using Jamii Forums mobile app
Idadi ya Aya za Uzi na idadi ya Aya za jibu lako inadhihirisha wazi mwenye Uzi unataka kumzima kibabe.Business class passenger wa Emirates amefika JK International Airport katoka nje kapanda daladala za TANDIKA na briefcase yake mkononi???Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.
Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.
Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Mimi ni mdau wa kipindi cha Clouds 360.
Leo nilipofuatilia kipindi nikamkuta Hassan Ngoma akiripoti kutokea msibani huko Bukoba ambapo tanga ndugu linaendelea na wafiwa waliolala msibani akiwemo Ngoma walikuwa wamemaliza kupata kifungua kinywa.
Ingependeza kama mtatujulisha wadau wenu ni lini mtarejea rasmi hewani baada ya kumaliza maombolezo.
Poleni sana
Maendeleo hayana vyama!
Hiyo wasafi ipo dar Tu morogoro tu penyeww haipoNdo inajifia hivyo
Watu tupo 88.9
Ndio Ruge atarudi? Tuliambiwa akifa, tusherehekee, na kula raha. Au Kusaga alikuwa anatuongopea?It's none of our business hata miaka mitano wanaweza omboleza
Ukweli uko wazi wana overdo,Acha uboya, chukua rimoti, weka stesheni nyingine, Clouds wamempoteza nguzo yao, waache waomboleze