TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zangu..kwamba jamaa ana nundu km yako[emoji23][emoji23][emoji23]
masoudi angekuwa mc angenogea sio hasan ngoma
Ananizidi nundu nikivaa lile koti nazama sitikisiki, apunguze tu mwili sio kwa mitako ile halafu dume

Masoud mtundu na anachangamka sio huyo Hasan sura yake ya kimazungumzo siielewagi, anaonekana mnafiki na mfitini sana yule

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hasan mchumia tumbo..mnafiki mno. akianza isifia serikali sasa hahahahaa
 
Weka mstari wa biblia unaosema mtu akiombewa /akifanyiwa ibada au misa baada ya kufa atatoka jehanam kwenda toharani mkuu
Halafu pia usisahau kutuambia toharani imetajwa wapi kwenye biblia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesikia mimi ni baba paroko?? Kama hujui imani timilifu ya Katoliki usiulize hapa. Sisi tunaomba misa kwa ajili ya wafu nayo inakubalika mbele za Mungu. Hata tukisali jumuia ndogondogo Mungu hutusikia kupitia kwa Somo wetu Mtakatifu Yuda Thade Mchamungu. Weye wa dini gani?? Sio yoote aliyoyasema Yesu kuwa yaliandikwa. Kama yangeliandikwa yote ulimwengu ungelijaa vitabu vyake. Omba sala ya Mtakatifu Inyasi uoshwe dhambi zako weye.
 
Ndo ujue kwamba msiba ulikuzwa...mpak wazazi wanashangaa.....
 
Dear kila mtu na kichaa chake ujue... Kuna watu kama ruge hata huku mtaani akifa watu wanajaaa balaa kuna kaka alikufa watu walijazana mpk wakafikiri kiongozi kumbe walaa...na kuna wengine maarufu lakini wakifa ni normal tu!!!!
msiba wa kibs km umepoa

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndo stail ya kibonde sasa kawaida tu

Alikufa mangwea hapa ulikua balaaa
 
 
Kaondolewa akiwa mdogo sana tena kaondolewa kwa mateso... Uzuri alijua anakufa....
Wengine hawajui watakufaje

Sent using Jamii Forums mobile app
kama alivyoluwa anajua anachokifanya wengi hTukumjua hadi alipokufa ni watu wachache walioweza kufanya mambo makubwa kama Ruge The African Hero in Burudani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…