TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Kumekuwa na kasumba yakuzika watu maalufu dar es salaam pindi wanapo kufa tafadhalini sana rugemarila mtahaba ni muhaya wa kabale bukoba mleteni azikwe kwao.

Wengine clouds tumeanza kuisikia tulipo enda vyuoni bila yeye mawingu ya clouds fm sijui kama tungeyasikia wakazi wa mkoa kagera. Tunaitaji kumuaga mpenzi wetu, tafadhalini msije kututhulumu hii fursa. He was an ikon of kagera and w'll still be.
[emoji3][emoji3][emoji16]poleni wahaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaaah huko instagram wasafi wanaposti mishumaa kinafiki. So far rayvanny na dem wake ndo wameposti mishumaa ila bila hata caption. Boss mond ndo hana habari kabisaa. Daaah naona kwa wasafi bora wasiposti tu coz utakua ni unafiki wa hali ya juu. Ila dudubaya sijui atasema nn coz alisha mwombea ruge kifo tangu zamani sana. Pole zamaradi najua una account humu.

Lkn tuwe waungwana jaman huyu mzee ni kati ya watu walio na mchango mkubwa sana sema tu kila binadam ana weakness yake.


R.I.P Legend Ruge. You will be missed so much.
Rest easy.
 
[emoji4][emoji4][emoji4]its okey babe
[emoji8]yaani Leo sikua online nakuta text msg ya dogo rip ruge huwezi amini kuna kazi nilikua nafanya niliachia watoto mchozi umenitokaa

Yaani nilikua namuombea apone kama namjua nikawa nasema Mungu mponye huyu baba ili dudu baya aumbuke kumbe Ana makusudi yake mengine kabisaa Mungu ila nimeumia sanaa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIP Brother!

Mungu akurehemu akupokee salama huko ulikoenda.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
[emoji8]yaani Leo sikua online nakuta text msg ya dogo rip ruge huwezi amini kuna kazi nilikua nafanya niliachia watoto mchozi umenitokaa

Yaani nilikua namuombea apone kama namjua nikawa nasema Mungu mponye huyu baba ili dudu baya aumbuke kumbe Ana makusudi yake mengine kabisaa Mungu ila nimeumia sanaa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie sijui nisemeje jamam
 
Mi ndo nimeshangaa hapo eti kijana? Muonekano umekudanganya ruge mzee
R.I.P. Sir
Miaka 49 sio Uzee. Ndo alikuwa anakaribia kuanza safari ya kuutafuta Uzee. Unaanza safari ya kuutafuta baada ya kuuaga ujana.
 
[emoji8]yaani Leo sikua online nakuta text msg ya dogo rip ruge huwezi amini kuna kazi nilikua nafanya niliachia watoto mchozi umenitokaa

Yaani nilikua namuombea apone kama namjua nikawa nasema Mungu mponye huyu baba ili dudu baya aumbuke kumbe Ana makusudi yake mengine kabisaa Mungu ila nimeumia sanaa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole
 
Back
Top Bottom