HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji16]poleni wahayaKumekuwa na kasumba yakuzika watu maalufu dar es salaam pindi wanapo kufa tafadhalini sana rugemarila mtahaba ni muhaya wa kabale bukoba mleteni azikwe kwao.
Wengine clouds tumeanza kuisikia tulipo enda vyuoni bila yeye mawingu ya clouds fm sijui kama tungeyasikia wakazi wa mkoa kagera. Tunaitaji kumuaga mpenzi wetu, tafadhalini msije kututhulumu hii fursa. He was an ikon of kagera and w'll still be.
[emoji8]yaani Leo sikua online nakuta text msg ya dogo rip ruge huwezi amini kuna kazi nilikua nafanya niliachia watoto mchozi umenitokaa[emoji4][emoji4][emoji4]its okey babe
Mie sijui nisemeje jamam[emoji8]yaani Leo sikua online nakuta text msg ya dogo rip ruge huwezi amini kuna kazi nilikua nafanya niliachia watoto mchozi umenitokaa
Yaani nilikua namuombea apone kama namjua nikawa nasema Mungu mponye huyu baba ili dudu baya aumbuke kumbe Ana makusudi yake mengine kabisaa Mungu ila nimeumia sanaa leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Twaozile maweOmukama akuhumuze ne mirembe tata
Poleni wote mlioguswa na msiba huu
Sent using Jamii Forums mobile app
R.I.P. SirMi ndo nimeshangaa hapo eti kijana? Muonekano umekudanganya ruge mzee
Pole[emoji8]yaani Leo sikua online nakuta text msg ya dogo rip ruge huwezi amini kuna kazi nilikua nafanya niliachia watoto mchozi umenitokaa
Yaani nilikua namuombea apone kama namjua nikawa nasema Mungu mponye huyu baba ili dudu baya aumbuke kumbe Ana makusudi yake mengine kabisaa Mungu ila nimeumia sanaa leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpola munoTwaozile mawe