TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

LEAVE A LEGACY, Eric Thomas one of the best motivation speaker katika 1 ya speech zake anasema LEAVE A LEGACY (Acha urithi), anaendelea anasema Je kama ukifa leo hawa unaowaacha nyuma yako, una waachia nini?, Binafsi katika nafasi yangu kama mtu wa kawaida au kijana mwenye ndoto kubwa za kimaisha natambua na kuheshimu mchango mkubwa alioufanya Ruge, hasa kupitia madarasa ya fursa.. He was the real meaning of inspiration and He leave us a legacy, anaweza kua na mapungufu yake kama binadamu wa kawaida (mimi na wewe) lakini haipingiki legacy alioacha ni kubwa sana.

R.I.P Ruge, hakika kila nafsi itaonja mauti it just a matter of time.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekuwa na kasumba yakuzika watu maalufu dar es salaam pindi wanapo kufa tafadhalini sana rugemarila mtahaba ni muhaya wa kabale bukoba mleteni azikwe kwao.

Wengine clouds tumeanza kuisikia tulipo enda vyuoni bila yeye mawingu ya clouds fm sijui kama tungeyasikia wakazi wa mkoa kagera. Tunaitaji kumuaga mpenzi wetu, tafadhalini msije kututhulumu hii fursa. He was an ikon of kagera and w'll still be.
Tayari tulishajadili humu kwani akizikwa dar kuna nini ardhi ni ardhi
 
Inauma sana..unawaza kama mm..juzi huyu naye kapata ajali..bas nikajua atakaa bas hosptal walaua 4mths aone utamu wa ajali ya kugonga punda..ghafla naliona limeshika mic kwenye ziara ya Samia..unabaki unasema kwani Mungu wanaemwabudu wakenya ni sawa n wa Tz?haya majitu yangeoata ajali alafu migongo yao ingepalalaizi mazima yakawa majitu ya kitandan tu yatoke bed sores..alafu anatokea kidume anaenda kuoa wake zao!pumbafu kbs yn
RUGE AJAFARIKI KAPUMZIKA KWA AMANI TU.USISIKITIKE SANA.
 
Calm down bebii!!!
Inauma sana..unawaza kama mm..juzi huyu naye kapata ajali..bas nikajua atakaa bas hosptal walaua 4mths aone utamu wa ajali ya kugonga punda..ghafla naliona limeshika mic kwenye ziara ya Samia..unabaki unasema kwani Mungu wanaemwabudu wakenya ni sawa n wa Tz?haya majitu yangeoata ajali alafu migongo yao ingepalalaizi mazima yakawa majitu ya kitandan tu yatoke bed sores..alafu anatokea kidume anaenda kuoa wake zao!pumbafu kbs yn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
najua magumu ya ndoa...lakini mwanamke unayeshabikiwa mitandaoni wanakusifu una hekima na blah blah kibao..unamuacha mzaz mwenzako unaenda kufunga ndoa na street guy hiv zama alipungukiwa nn!
Eti mie niachane na hubby alafu at same moment naolewa na kiduku boy..huyo zama wenu mnaomuimbiaga nyimbo za kumsifu insta eti anabusara nakuambia ataumia had anaingia kaburini..mwanamke timilifu ukiachana na mumeo kaa kando na masuala ya kuolewa kbs!najua huwez nielewa!
Serious?! Hata kama Marehemu haswemwi mabaya; wewe ulitaka aendelee kuzalishwa bila ndoa hadi lini? Au kwavile Ruge alikuwa na pesa? Hivi alikuwa na sababu gani za msingi za kuendelea kumzalisha bila ndoa miaka yote hiyo? Acha kutetea ujinga wewe!!!
 
Back
Top Bottom