kanyela mumo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,034
- 2,117
Kubadili siyo kama vile blood group kuwa you just match the donor and the recepient by simple tests! Kuna mambo mengi katika organ graft!.. kuna rejection due to histoincompatibility ...MHC antigens.. (hayo yaache), shida Nani akupe hiyo figo, nao ni mtihani!hivi ilishndikana kubadilisha..?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Rugemalila humaanisha mtengeneza njia ?If yes,jina lake aliliishi kwa kweliRugemalila ndio jina lake kamili, alizoea kujiita Ruge kama kifupisho.
Sababu kubwa zinazoongoza kwa kusababisha chronic kidney failure ni kisukari na shinikizo la juu la damu (presha ya kupanda)Hivi chanzo cha kidney failure ni kipi hasa
iPhone 7plus
Huyu baba kaniuma Kweli. Ndo nimesikia mda huu. Nimepatwa mshituko mpaka kichwa kinauma.
Poleni wafiwa.
Mi naamini taifa limempoteza mtu muhimu sana.
Pumzika ruge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema ukweli aisee,nilipataka pre eclampsia baadae miezi miwili nikaambie niende kwa urologist kucheki kama pressure haikuharibu figo.Sababu kubwa zinazoongoza kwa kusababisha chronic kidney failure ni kisukari na shinikizo la juu la damu (presha ya kupanda)
Sababu nyingne ni matumizi ya dawa za kutuliza maumivu (aspirin,diclofenac, ibuprofen,aceclofenac etc) pamoja na matumizi ya dawa za mitishamba
Uko kwenye risk ipi kati ya hizo hapo mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
leo sina ht nguvu za kubishana na wehu km wwHuitaj ni kunistahi. Unaleta siasa UCHWARA kwenye mambo ya msingi. Chuki zako za kisiasa peleka huko.Hadhi ya jpm haiwez fanana na kinyago yyt Yule Tanzania. HEADING IKO SAHIHI
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
kwan??kwan wale watot wA2 aliwapata wakiwa wanaishi apart?Naanzaje kuacha kuelewa?? Mm nimo ndoani but kwani zama aliolewa? Mm mi si mshabiki wa Zama hata kidogo sionagi Impact yake kwangu. Nakatika watu niliosikitika ni vile alivyolikisha saut ya Marehemu analia aisee niliona ni mpuuzi hata huo ubusara wake sikuona.
Huwa kana edit/ copy and pastePolepole hatoshi kwenye hiyo nafasi. Kila barua anakosea tarehe sijui anawaza nini?
Mimi msimamo wangu ni kuwa mgonjwa anaeumwa figo akipata dialysis tatu kila wiki za masaa manne manne vizuri kabisa,akazingatia dawa zake za pressure na kisukari (kama anacho) na akazingatia chakula kinachoruhusiwa...Watu wataishi maisha marefuIni na Figo vinaua vibaya jamani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yaani hapa navuta picha mwaka2016
Huwa namuomba Mungu awaponye wagonjwa wote wa figo,,hata km wangu ilishindikana Basi Yale maombi yawaponye wengine
Nawaza Tena why Mungu amemchukua Ruge!??[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Why wagonjwa wa Figo wanateseka hivi!???
Yaani napata mzigo mzito rohoni kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
πππWanawake wa Tanzania mnapend a kuzimia kwny misiba ya watu maaruf msiojuana nao, kwny misiba ya ndugu au majiran wenu macho makavuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema ukweli aisee,nilipataka pre eclampsia baadae miezi miwili nikaambie niende kwa urologist kucheki kama pressure haikuharibu figo.
Utakuwa Unazibuliwa Tope zuzu wewe..
Pale zama alikuwa anapita tu...Depression,toka alivyoachwa na Zamaradi mi nilijua hana muda.
Inaelekea alimpenda sana yule bibi,!ila ndo hivyo bibi alipenda status na mlunguli.
Alivyoona hapasomeki akasepa na Ruge maradhi yakaanza.
Kila mjanja ana mjanja wake.
Shost sie tunajuq ndoa mpk ifungwe msikitini au kanisani ndo maana hata yule bi dada alienda kuolewa kwa sbb alijua yupo huru hana binding agreement na mtu. Kwa hyo kama ilikua ndoa ya kiserikali tungesikia. Ukisema ndoa unaenda mbali kuna type za ndoa ila hyo ya kukaa miezi sijui kuzaa sio ndoa bali ni mahusiano yanayotambulika kisheria za sasa but si ndoa na hata siku anazikwa hakutakua na risala inayosema marehemu alioa bali marehemu alikua na watoto wawili.leo sina ht nguvu za kubishana na wehu km ww
hv kuolewa had mfunge ndoa
kwan??kwan wale watot wA2 aliwapata wakiwa wanaishi apart?