kanyela mumo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,034
- 2,117
Pumnzika kwa Amani.. Umefanya kazi kubwa sana.
Sijawahi kukuona katika Maisha yangu ila kazi zako zilifanya nilikusifu mbele ya Mke wangu na Mungu wangu.
Yooh Brother pumnzika Kamanda.
Daima Busara, Hekima na sauti yako Unyenyekevu vitabaki kama Nguzo katika Maisha yangu.
Master mind & Game changer sita kusahau brother kwasababu wewe ni Mtu wa kipekee.
Much respect na Lala salama Kaka RUGE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kukuona katika Maisha yangu ila kazi zako zilifanya nilikusifu mbele ya Mke wangu na Mungu wangu.
Yooh Brother pumnzika Kamanda.
Daima Busara, Hekima na sauti yako Unyenyekevu vitabaki kama Nguzo katika Maisha yangu.
Master mind & Game changer sita kusahau brother kwasababu wewe ni Mtu wa kipekee.
Much respect na Lala salama Kaka RUGE.
Sent using Jamii Forums mobile app