Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,381
Unajitia kidole halafu unajinusaBarua ya bavicha imekaa kipopoma sana,poor design. Yani address ziko ovyoovyo.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
WEWE HUJMUELEWA JAMAA, HAPO KAWAPONDA CCM WENZAKE AMBAO WAMETOA BARUA ILIYOANDIKWA MWAKA JANA
Roho inakuuma sana kwanini sijawahi anzisha thread lkn nakimbiza kwenye kujenga hoja wakati wa uchangiaji. Sina kipawa cha kuanzisha ila niko vizuri sana ktk kushiriki.Watu weweeeee, pale msomi anapojadili mambo madogo na watu wenye elimu ndogo huku anazaidi ya miaka hajawahi kuanzisha mada yoyote ya hayo mambo ya msingi. Hope sasa umeamini hapa Tanzania hakuna tofauti ya msomi na yule ambaye hajasoma.
Barua ya bavicha imekaa kipopoma sana,poor design. Yani address ziko ovyoovyo.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Nimemshanga MISULI kaiponda barua ya bavichaWEWE HUJMUELEWA JAMAA, HAPO KAWAPONDA CCM WENZAKE AMBAO WAMETOA BARUA ILIYOANDIKWA MWAKA JANA
Wewe unaangalia mwandiko badala ya content.Barua ya bavicha imekaa kipopoma sana,poor design. Yani address ziko ovyoovyo.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Bwashee kwani Bavicha ndio Chadema?!
Naona unainyemelea nafasi ya s.nyerereBwashee kwani Bavicha ndio Chadema?!
Hahahaa..........!!Naona unainyemelea nafasi ya s.nyerere
Uuteke msiba na wewe upige
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinisahau kunifanyia muhamala jpo hela za bia 5 tuHahahaa..........!!
Hahaa kwa sasa akili zote za CCM na mawazo yao yako kwenye michango ya rambirambi huwaambii kitu.Naona unainyemelea nafasi ya s.nyerere
Uuteke msiba na wewe upige
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ashapiga hesabu akavute ist johnthebaptistHahaa kwa sasa akili zote za CCM na mawazo yako kwenye michango ya rambirambi huwaambii kitu.
Haraka ya kuwahi kutembeza daftari la mchango hyooooHahahaa..........!!
Nashukuru kwa kukiri kuwa barua ya chadema ina upopoma ndani. Typing error ya mwaka ni ndogo sana kuliko huo muundo wa uandishi toka ufipa.View attachment 1033146
ONA CCM WALIVYO MAKINI, WALIANDAA BARUA TOKA MWAKA JANA MWEZI WA PILI. CHADEMA YAO WAMEIANDAA USIKU WA KUAMKIA LEO HIVYO LAZIMA IWE NA UPOPOMA NDANI
Hahahaa......... hiyo sahihi imekaa kimasai masai sana!Haraka ya kuwahi kutembeza daftari la mchango hyoooo
Ona bavicha walivyomakini.....Nyie ndomana kwenye mikataba mikubwa mnatuingizaga chaka.....mnayoiandikaa
Ova
View attachment 1033154View attachment 1033155
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakosea vp kuandika barua na tarHahahaa......... hiyo sahihi imekaa kimasai masai sana!
inaonyesha tofauti ya viwango vya upopoma kati ya vyama viwili vya siasa..
CCM: imesainiwa na Polepole leo tarehe 27 February 2018
Chadema: imesainiwa na Sosopi leo tarehe 27 February 2019