Ndugu wananchi, tuna msiba mkubwa leo umetokea hapo kusini mwa Africa,........Poleni sana wa-Tanzania wote. ndugu, jamaa na marafiki, hasahasa kwa dada yangu Zamaradi Mtetema, wewe bado mdogo ki-umri, kiumbo nk, naamini Mungu atakusaidia kuyashinda haya magumu unayopitia kwa sasa....tuko pamoja na mimi ndo mfariji wako mkuu, sitakuacha kamwe amini ivo nakupenda sana na pia ni mtu wangu wa karibu, pengo ntaliziba kwa gharama yeyote ile. wote tulipitia kipindi hiki kigumu na wengine wengi wanapitia sasa,na wewe leo wapitia hapa.usishangae au kuumia sana. haya yameumbwa na mpaka leo tunaishi Mungu akupe wepesi...KOSA LA RAIS ALITAKIWA KUREKEBISHA HARAKA SANA. ''HAJATOA POLE KWA WATANZANIA WAKE, WAPIGA KURA WAKE, AMEWASAHAU AU HAJAWAJALI KATIKA MSIBA HUU MKUBWA WA KITAIFA.