TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Wewe kifo, hakika unge elewa maana ya huu msemo " kill him not, let him go" , ungetuachia Ruge wetu aendelee kuishi, lakini maadama wewe kifo / death umechagua kutumia msemo huu " kill him, let him go". Sisi kama wanadamu hatuna cha kuongeza zaidi ya kusema ni kazi yake Mola.
 
Naomba kuuliza

ruge amekufa kifo cha kawaida?


ruge dakika za Mwisho za uhai wake alisema nini?


au alikata Roho ghafla?

Je ruge alijua anaondoka duniani na hatarudi Dar tena milele na milele?

Maswali yako yananifanya nijiulize sababu zinazosababisha Figo kufa kwa haraka ninini? je Ruge ni sababu ipi iliyopelekea Figo zake ku fail?
 
Tatizo mods wanaunganisha nyuzi balaa
Wanaboa sasa

Fanya hivi anzisha uzi spesho kwa ajili ya msiba wa bwana huyu updates zote ziwepo hapo ratiba na matukio kwa picha ama videos means yeyote mwenye pic za matukio ya msiba huu atatupia hapo

Tumuage humuhumu kimtandao

Kuna ishu ya ving'amuzi watu wengi hatuna hiyo channel ya clouds baada ya fyekeo la TCRA

Then mwishoni sisitiza mods wasiuunganishe

Jamaa alikuwa muhamasishaji hasa kwa sie vijana tushiriki hata kwa njia ya mtandao inatosha kuweka kumbukumbu nzuri



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaboa sasa

Fanya hivi anzisha uzi spesho kwa ajili ya msiba wa bwana huyu updates zote ziwepo hapo ratiba na matukio kwa picha ama videos means yeyote mwenye pic za matukio ya msiba huu atatupia hapo

Tumuage humuhumu kimtandao

Kuna ishu ya ving'amuzi watu wengi hatuna hiyo channel ya clouds baada ya fyekeo la TCRA

Then mwishoni sisitiza mods wasiuunganishe

Jamaa alikuwa muhamasishaji hasa kwa sie vijana tushiriki hata kwa njia ya mtandao inatosha kuweka kumbukumbu nzuri



Sent using Jamii Forums mobile app
Ingawa si pahala pake, nakusalimu kapeace

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yuko sahihi.Lakin pia anakubaliana na Dudu kuwa wasanii wanadhulumiwa.sasa labda Dudu atusibitishie ni kwa namna gani Ruge na CMG wanadhulumu wasanii.
Inasikitisha kuona msanii mkongwe anaongelea suala la dhuluma kwenye nchi yenye utawala bora.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si vizuri kushirikiana watoto mambo ya kiofisi wakati wao hawako hiyo ofisi !! Na watoto wanatakiwa kukua baba akiwa mwizi akitumbuliwa usinune anachukia nini ulitaka baba yako aendelee kuwa mwizi akiibia serikali? Huko kununa kwaweza haribu future ya mtoto.Akaeleweka kuwa mtoto wa mwizi ni mwizi hivyo hata akipewa post atakuwa mwizi kama baba yake.Hata kama ana hasira angetungua tu Kilio na kutoa mkono au angekuwa neutral.Hicho kitoto kinaonyesha kipenda Ufisadi na kilillelewa na pesa za kifisadi Kasi kuwa zilipokata kikawa na hasira na watumbuaji waliotumbua baba yake.Mtoto usimshirikishe ya ofisini usipende kusimulia ya ofisini hasa mabaya kauka wajaze wenyewe.Usiseme ohh naonewa nk wakati wewe mwizi ofisini utaharibu future za watoto wata misbehave siku ya msiba kwa wasiojua kama huyo mtoto.Kajipa permanent damage ya future yake

Future ya huyo mtoto inapangwa na jiwe na bashite? Wa mwendawazimu kweli,umezoea kujipendekeza kwa viongozi hivyo unaamini kila mtu ili afanikiwe inabidi ajipendekeze kwao.
 
Yuko sahihi.Lakin pia anakubaliana na Dudu kuwa wasanii wanadhulumiwa.sasa labda Dudu atusibitishie ni kwa namna gani Ruge na CMG wanadhulumu wasanii.
Inasikitisha kuona msanii mkongwe anaongelea suala la dhuluma kwenye nchi yenye utawala bora.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mvuta unga Tangu lini akaongea cha maana....ndo mana wanapelekwa nyumba zao wanatengwa na wenye akili timamu....yeye ndo mpumbavu na ubabe wote ule kilichonpeleka kuvuta Unga nn?...Ruge alikuwa janga la wasanii hasa pale anapoona hatopata unyonyaji kupitia msanii.Chidi kiukweli ni Muhanga wa kila kitu.
 
Kuna watu watabir humu jf kuna Uzi ulianzishwa hata wiki haijaisha kuhusu yule binti kipepeo kutapeliwa pesa Yale na Rughe

Kuna mchangiaji mmoja akasema Ruge tayar kishakufa na familia yake kina jambo wanalitengeneza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si vizuri kushirikiana watoto mambo ya kiofisi wakati wao hawako hiyo ofisi !! Na watoto wanatakiwa kukua baba akiwa mwizi akitumbuliwa usinune anachukia nini ulitaka baba yako aendelee kuwa mwizi akiibia serikali? Huko kununa kwaweza haribu future ya mtoto.Akaeleweka kuwa mtoto wa mwizi ni mwizi hivyo hata akipewa post atakuwa mwizi kama baba yake.Hata kama ana hasira angetungua tu Kilio na kutoa mkono au angekuwa neutral.Hicho kitoto kinaonyesha kipenda Ufisadi na kilillelewa na pesa za kifisadi Kasi kuwa zilipokata kikawa na hasira na watumbuaji waliotumbua baba yake.Mtoto usimshirikishe ya ofisini usipende kusimulia ya ofisini hasa mabaya kauka wajaze wenyewe.Usiseme ohh naonewa nk wakati wewe mwizi ofisini utaharibu future za watoto wata misbehave siku ya msiba kwa wasiojua kama huyo mtoto.Kajipa permanent damage ya future yake
Haya maneno ungewambia hao viongozi wako kua wanavyovifanya sio vizr, wewe mfano watoto hao mnaowatesa wakijua kua wazazi wao waliuawa kwa sababu walikua wanatafuta ukweli watashindwa kua na kisasi miyoni mwao?
Kisasi wasipofanya kwao watafanya hata kwa watoto wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yuko sahihi.Lakin pia anakubaliana na Dudu kuwa wasanii wanadhulumiwa.sasa labda Dudu atusibitishie ni kwa namna gani Ruge na CMG wanadhulumu wasanii.
Inasikitisha kuona msanii mkongwe anaongelea suala la dhuluma kwenye nchi yenye utawala bora.

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo ni principle ya maisha, wanachoshindwa kueleza hiyo dhuluma wamefanyiwa kwa mtindo gani?

kama unafanya kazi bila mkataba kuna wa kumlaumu ama upumbavu wako?

na kama mkataba wa kazi upo je umekiukwa?...

na kama umekiukwa hatua ipi umechukua?

Kwa anayejielewa hata siku moja maisha yakikupiga usilie na kunyooshea wengine vidole ni upumbavu.. mlango ukifungwa toboa ukuta toka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom