Naomba kuuliza
ruge amekufa kifo cha kawaida?
ruge dakika za Mwisho za uhai wake alisema nini?
au alikata Roho ghafla?
Je ruge alijua anaondoka duniani na hatarudi Dar tena milele na milele?
Wanaboa sasaTatizo mods wanaunganisha nyuzi balaa
AiseeeKuna kenge alikuwa amejificha jana kaonekana kule twitter ngoja msiba upite atakula fimbo za mkorosho mpaka arudi mafichoni
Ingawa si pahala pake, nakusalimu kapeaceWanaboa sasa
Fanya hivi anzisha uzi spesho kwa ajili ya msiba wa bwana huyu updates zote ziwepo hapo ratiba na matukio kwa picha ama videos means yeyote mwenye pic za matukio ya msiba huu atatupia hapo
Tumuage humuhumu kimtandao
Kuna ishu ya ving'amuzi watu wengi hatuna hiyo channel ya clouds baada ya fyekeo la TCRA
Then mwishoni sisitiza mods wasiuunganishe
Jamaa alikuwa muhamasishaji hasa kwa sie vijana tushiriki hata kwa njia ya mtandao inatosha kuweka kumbukumbu nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Salama kabisa kapeace tukio hili limenitafakarisha thamani ya maisha na umuhimu wa kuacha legacy hata ktk familia.
Si vizuri kushirikiana watoto mambo ya kiofisi wakati wao hawako hiyo ofisi !! Na watoto wanatakiwa kukua baba akiwa mwizi akitumbuliwa usinune anachukia nini ulitaka baba yako aendelee kuwa mwizi akiibia serikali? Huko kununa kwaweza haribu future ya mtoto.Akaeleweka kuwa mtoto wa mwizi ni mwizi hivyo hata akipewa post atakuwa mwizi kama baba yake.Hata kama ana hasira angetungua tu Kilio na kutoa mkono au angekuwa neutral.Hicho kitoto kinaonyesha kipenda Ufisadi na kilillelewa na pesa za kifisadi Kasi kuwa zilipokata kikawa na hasira na watumbuaji waliotumbua baba yake.Mtoto usimshirikishe ya ofisini usipende kusimulia ya ofisini hasa mabaya kauka wajaze wenyewe.Usiseme ohh naonewa nk wakati wewe mwizi ofisini utaharibu future za watoto wata misbehave siku ya msiba kwa wasiojua kama huyo mtoto.Kajipa permanent damage ya future yake
Yuko sahihi.Lakin pia anakubaliana na Dudu kuwa wasanii wanadhulumiwa.sasa labda Dudu atusibitishie ni kwa namna gani Ruge na CMG wanadhulumu wasanii.
Inasikitisha kuona msanii mkongwe anaongelea suala la dhuluma kwenye nchi yenye utawala bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maneno ungewambia hao viongozi wako kua wanavyovifanya sio vizr, wewe mfano watoto hao mnaowatesa wakijua kua wazazi wao waliuawa kwa sababu walikua wanatafuta ukweli watashindwa kua na kisasi miyoni mwao?Si vizuri kushirikiana watoto mambo ya kiofisi wakati wao hawako hiyo ofisi !! Na watoto wanatakiwa kukua baba akiwa mwizi akitumbuliwa usinune anachukia nini ulitaka baba yako aendelee kuwa mwizi akiibia serikali? Huko kununa kwaweza haribu future ya mtoto.Akaeleweka kuwa mtoto wa mwizi ni mwizi hivyo hata akipewa post atakuwa mwizi kama baba yake.Hata kama ana hasira angetungua tu Kilio na kutoa mkono au angekuwa neutral.Hicho kitoto kinaonyesha kipenda Ufisadi na kilillelewa na pesa za kifisadi Kasi kuwa zilipokata kikawa na hasira na watumbuaji waliotumbua baba yake.Mtoto usimshirikishe ya ofisini usipende kusimulia ya ofisini hasa mabaya kauka wajaze wenyewe.Usiseme ohh naonewa nk wakati wewe mwizi ofisini utaharibu future za watoto wata misbehave siku ya msiba kwa wasiojua kama huyo mtoto.Kajipa permanent damage ya future yake
KKKT ndo utaratibu mpya,sio ndoa tu,na kama hushiriki ibada na kutoa sadaka unajibeba,huzikwiJuzi KKKT waligoma kumzika kaka yangu kapuku kisa tu hana ndoa sasa nasubiria kuona wakimzika hadi na askofu kisa tu Ruge ni tajiri...lets stay eye opened
Salama kabisa kapeace tukio hili limenitafakarisha thamani ya maisha na umuhimu wa kuacha legacy hata ktk familia.
Nishapoa
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo ni principle ya maisha, wanachoshindwa kueleza hiyo dhuluma wamefanyiwa kwa mtindo gani?Yuko sahihi.Lakin pia anakubaliana na Dudu kuwa wasanii wanadhulumiwa.sasa labda Dudu atusibitishie ni kwa namna gani Ruge na CMG wanadhulumu wasanii.
Inasikitisha kuona msanii mkongwe anaongelea suala la dhuluma kwenye nchi yenye utawala bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanjanja huyu ameamua tu ku-exaggerate mamboYaani Majizo kufika msibani imeibuka taharuki? Mtoa mada unaijua taharuki lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app