Denis lugora
Member
- Feb 8, 2019
- 9
- 3
Truthhiyo ni principle ya maisha, wanachoshindwa kueleza hiyo dhuluma wamefanyiwa kwa mtindo gani?
kama unafanya kazi bila mkataba kuna wa kumlaumu ama upumbavu wako?
na kama mkataba wa kazi upo je umekiukwa?...
na kama umekiukwa hatua ipi umechukua?
Kwa anayejielewa hata siku moja maisha yakikupiga usilie na kunyooshea wengine vidole ni upumbavu.. mlango ukifungwa toboa ukuta toka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watu hawakutaharuki Majey alivyoitwa Clouds 360 na kuongea kua Ruge ndie alimpa moyo kufungua radio station yake waje wataharuki kumuona msibani.Ninaweza nikasema sielewi ila ni kwa uelewa wangu mdogo kwa maana nilikuwa eneo la tukio na nikaona ni jinsi gani watu wanavyonong'ona chini kwa chini na hicho ndicho kilicho fanya waandishi wamfuate na kufanya naye mahojiano ili aeleze mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo siyo taharuki mdogo wangu,katika uandishi wako haukuwa na sababu ya kulitumia kwani limebadili maana nzima ya habari...uungwana ni kuandika kitu halisi,au sio!...taharuki ni hali ya mshituko mkubwa na au sintofahamu inayoweza kusababisha ugomvi,janga,ajali au hatari kubwa...mfano bomu lilipuke halafu watu waanze kuhaha kila mmoja na njia yake, hiyo ndio utaita taharuki.Ninaweza nikasema sielewi ila ni kwa uelewa wangu mdogo kwa maana nilikuwa eneo la tukio na nikaona ni jinsi gani watu wanavyonong'ona chini kwa chini na hicho ndicho kilicho fanya waandishi wamfuate na kufanya naye mahojiano ili aeleze mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Dahh ,poleni sana ! Lakini taratibu za kanisa zinapaswa kuheshimiwa pasipo ubaguziJuzi KKKT waligoma kumzika kaka yangu kapuku kisa tu hana ndoa sasa nasubiria kuona wakimzika hadi na askofu kisa tu Ruge ni tajiri...lets stay eye opened
UMESAHAU MAENDELEO HAYANA CHAMAYuko sahihi.Lakin pia anakubaliana na Dudu kuwa wasanii wanadhulumiwa.sasa labda Dudu atusibitishie ni kwa namna gani Ruge na CMG wanadhulumu wasanii.
Inasikitisha kuona msanii mkongwe anaongelea suala la dhuluma kwenye nchi yenye utawala bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka somo limeeleweka...hakuna binadamu aliyejuu zaidi ya mwingineHuyo mwenzio kakereka kwanini heading ina Rais wa Tanzania. Ndio nimemjibu hivo na sio kujipendekeza bali ni FACT. Hata kama Rais asingewekwa hapo bado kwa hadhi yake kuna vyombo vingi tu vya habari vingeandika Rais aungana na watanzania kumlilia Ruge. Kuna sehem inatakiwa siasa uchwara lkn sio kila Sehemu.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Wanaboa sasa
Fanya hivi anzisha uzi spesho kwa ajili ya msiba wa bwana huyu updates zote ziwepo hapo ratiba na matukio kwa picha ama videos means yeyote mwenye pic za matukio ya msiba huu atatupia hapo
Tumuage humuhumu kimtandao
Kuna ishu ya ving'amuzi watu wengi hatuna hiyo channel ya clouds baada ya fyekeo la TCRA
Then mwishoni sisitiza mods wasiuunganishe
Jamaa alikuwa muhamasishaji hasa kwa sie vijana tushiriki hata kwa njia ya mtandao inatosha kuweka kumbukumbu nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
yani hapo na wao wenyewe watakufa siku moja ila wamekua majaji wa wangine...sasa wangepewa mamlaka ya zaidi, motoni kungejaa walala hoi hata kama ni wenye haki...na mbinguni kungejaa wahuni matajiri! ndio maana kristu alikua akikutana na hawa viongozi wa dini lazima awazingue.....yali zilikua aziivi kabisa na hawa washenzi!KKKT ndo utaratibu mpya,sio ndoa tu,na kama hushiriki ibada na kutoa sadaka unajibeba,huzikwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo namba mbili Ruge ali nini mkatoliki?Hellow bosess
kweli kifo cha ruge kimetustua wengi ni jambo ambalo wengi (tulitegemea sema sio kwa haraka ivyo) limetustua. alale mahali pema peponi
twende kwenye mada nani yupo nyuma ya kifo cha ruge??, unaweza kusema labda siku zake zimefika lkn ukiangalia kwa jicho la tatu utaona kuna namna siku zake zimezogezwa mbele na mtu au kikundi cha watu kwa malego au faida yao binafsi
mambo yalinishangaza kuhusu marehemu ruge na kifo chake
1. Alisumbuliwa na figo akapelekwa SA kwa matibabu.
=>garama za matibabu SA ni ghali kuliko India japo huduma zinaweza kulingana mpaka anafariki alitumia 800+ml za matibabu
=>JE nduguze walikosa ela ya figo?? ya kumfanyia trasplant huko SA??, Ipo ivi miezi 8 iliyopita sida ya figo ilianza kwa ruge walipo ngudua hawakusema akalazwa. Navyo ijua SA na naigeria ndo nchi rahisi kupata viungo vya wanadamu hapa Africa, hapo SA figo kia-haramu unaweza pata kwa $5000-12,000 na kihalali hazidi $50,000 ruge asinge shindwa kulipia kivyovyote vile ili kuokoa maisha yake.
=>hao waliokua wanamtibu (madocta) hawakuwaambia familia kua figo inaweza kutolewa na kupachikwa nyingine kama betri la nokia
hapa kuna mambo matatu
1.madocta labda hawakusema ile waendelee kupiga ela za familia kwa kutumia mashine
2.familia iliambiwa ikaamua kupiga kimya kuangalia itakuaje (matokeo yake wamempoteza) au
3.Familia ilikua inajipanga kutafuta figo na hapo ndo umauti ukamfika
2.ruge hakua ameoa
hii ndo inaweza kua sababu ya siku zae kuwahi kufika, ruge alukuma mkatoliki (sina uhakika sana) mara nyingi kwenye ndoa mmoja akifariki mali zote zinaenda kwa mweza aliyebaki na kama alikua hama basi mali zage zinagawiwa kwa nduguze (watu wa karibu) ruge financial alikua vizuri huwenda ikawa kuna watu au kikundi cha watu walitaka utajiri wake walivyo pata point ya figo wakaamua wamtolea hapo hapo
NB: Hayo ni maoni yangu bnafsi unaweza nirekebisa kama utaona kuna sehemu nimekosea nimeandika kwa wema tu wakuu.[/b][/b][/b]
Hizi ni taarifa za kipumbavu.