Anafikiri ndio ataonewa huruma na kuachiwa huko korokoroni? RIP Ruge.
Kama angekuwa bado na uraia wa Marekani was Tz ungefutka baada ya kufika miaka 18.Na kama ungefutika angepoteza haki zake na kama Mali angeingia kama muwekezaji.Na hiki ndiyo kilio cha diaspora.RIP Ruge….naomba kuuliza katika wasifu wa marehemu inaonekana alizaliwa Marekani, kuzaliwa Marekani ina maana alikuwa na uraia wa Marekani kwa uzawa ( Citizen by birth) na inaonekana alisomea kule pia. Je aliukana uraia wa Marekani au kama alikuwa bado ana haki ya uraia wa Marekani kwanini asinge enda kutibiwa Marekani??
Na unga mkono hojaJamani jamani tusio na insta ndo tunaomboleza kianalojia
Mods tunaomba mruhusu mada itayohusu matukio ya msiba wa mpendwa wetu huu mnaotufanyia ni ukiritimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiv kumbe hum kunawasengee hiv!! Au unamtindio wa Ubongo wewe??Anafikiri ndio ataonewa huruma na kuachiwa huko korokoroni? RIP Ruge.
Mkuu shida kubwa sana kupenda masister duu hasa wa mjiniMtoa mada... Ulishawahi uguza ndugu yako wa karibu,jamaa au rafiki???
Kwenye matibabu iko hivi,hasa tatizo alilokua nalo marehemu Ruge,huwezi fanya surgery ya kidney plant kama mgonjwa pressure yake ipo juu sana..
Na hii labda ndiyo tatizo lililokua linamsumbua marehemu Ruge hadi wakashindwa kumufanyia,walikua wana control pressure ishuke then wafanye mambo....
Mwaka juzi nilipoteza kaka yangu pale Bugando hospital,alipata stroke, pressure ikapasua mishipa ya damu kichwani,akazima for seven days,siku ya nane akafariki....
Kila wakitaka mpeleka kwenye chumba cha upasuaji,pressure iko juu,wanashindwa mpasua,wanaanza control pressure...
Ogopa sana, mtu kama Ruge alipatwa na majanga haswa kutoka serikalini na kwa mpenzi wake Zamaradi
1. Kuvamiwa Clouds Fm na rafiki yao mkubwa,halafu mamlaka za juu zikamwacha mvamizi wake,bila yakumpa adhabu yoyote... Hapa alipata maumivu makubwa sana,hakuamini macho yake,kama serikali ya ccm inayotumia kituo chake kwenye propaganda zao leo hii wamekua watesaji wake...
2. Kuachwa na mzazi mwenzake Zamaradi na kwenda kuolewa sehemu nyingine,Ruge alijaribu kuomba samahani kwa mwenzake hadi akawa analia,yule mwanamke alikua ana mrekodi,akaitoa audio na kuisambaza,hapa napo aliumia...
Serikali kuzuia matamasha yake,mara vile anaandaa tamasha,dakika za mwisho ananyimwa kibali,walikua wapi kumunyima tangu mwanzo,kaingia gharama kiasi gani kuandaa hilo tamasha? Je wa zamini wataendelea fanya kazi na Ruge tena???
Pumuzika kwa Aman kaka Ruge...
Sent using Jamii Forums mobile app
What is this?? and who is this Person??
AhsanteHiyo siyo taharuki mdogo wangu,katika uandishi wako haukuwa na sababu ya kulitumia kwani limebadili maana nzima ya habari...uungwana ni kuandika kitu halisi,au sio!...taharuki ni hali ya mshituko mkubwa na au sintofahamu inayoweza kusababisha ugomvi,janga,ajali au hatari kubwa...mfano bomu lilipuke halafu watu waanze kuhaha kila mmoja na njia yake, hiyo ndio utaita taharuki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je walio uliza maana ya unafiki wamepata majibu mimi nimejifunza kwamba Viongozi wa kitaifa wanatakiwa kutunza kauli zao '' Public Figures Have to keep their words''-Tuwe na nidhamu ya pesa
-Nidhamu ya kazi na kutengeneza mshikamano na wafanyakazi wenzako
-Amejenga uwezo kwa vijana walioko katika fani mbalimbali hapa nchini
-Mafanikio hayaji hivi hivi. Lazima mtu ufanye kazi.
Mkuu! Naendwa kutafuta Fanta Kipaply na bisibisi, nitarudi nisome vizuri huu uzi!😉Je walouliza maana ya unafiki wamepata majibu
Maneno yenye hekima sana,ila ngoja mahasimu wake tusikie reply zao-Tuwe na nidhamu ya pesa
-Nidhamu ya kazi na kutengeneza mshikamano na wafanyakazi wenzako
-Amejenga uwezo kwa vijana walioko katika fani mbalimbali hapa nchini
-Mafanikio hayaji hivi hivi. Lazima mtu ufanye kazi.