TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

RIP Ruge….naomba kuuliza katika wasifu wa marehemu inaonekana alizaliwa Marekani, kuzaliwa Marekani ina maana alikuwa na uraia wa Marekani kwa uzawa ( Citizen by birth) na inaonekana alisomea kule pia. Je aliukana uraia wa Marekani au kama alikuwa bado ana haki ya uraia wa Marekani kwanini asinge enda kutibiwa Marekani??
Kama angekuwa bado na uraia wa Marekani was Tz ungefutka baada ya kufika miaka 18.Na kama ungefutika angepoteza haki zake na kama Mali angeingia kama muwekezaji.Na hiki ndiyo kilio cha diaspora.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada... Ulishawahi uguza ndugu yako wa karibu,jamaa au rafiki???

Kwenye matibabu iko hivi,hasa tatizo alilokua nalo marehemu Ruge,huwezi fanya surgery ya kidney plant kama mgonjwa pressure yake ipo juu sana..

Na hii labda ndiyo tatizo lililokua linamsumbua marehemu Ruge hadi wakashindwa kumufanyia,walikua wana control pressure ishuke then wafanye mambo....

Mwaka juzi nilipoteza kaka yangu pale Bugando hospital,alipata stroke, pressure ikapasua mishipa ya damu kichwani,akazima for seven days,siku ya nane akafariki....

Kila wakitaka mpeleka kwenye chumba cha upasuaji,pressure iko juu,wanashindwa mpasua,wanaanza control pressure...

Ogopa sana, mtu kama Ruge alipatwa na majanga haswa kutoka serikalini na kwa mpenzi wake Zamaradi
1. Kuvamiwa Clouds Fm na rafiki yao mkubwa,halafu mamlaka za juu zikamwacha mvamizi wake,bila yakumpa adhabu yoyote... Hapa alipata maumivu makubwa sana,hakuamini macho yake,kama serikali ya ccm inayotumia kituo chake kwenye propaganda zao leo hii wamekua watesaji wake...

2. Kuachwa na mzazi mwenzake Zamaradi na kwenda kuolewa sehemu nyingine,Ruge alijaribu kuomba samahani kwa mwenzake hadi akawa analia,yule mwanamke alikua ana mrekodi,akaitoa audio na kuisambaza,hapa napo aliumia...

Serikali kuzuia matamasha yake,mara vile anaandaa tamasha,dakika za mwisho ananyimwa kibali,walikua wapi kumunyima tangu mwanzo,kaingia gharama kiasi gani kuandaa hilo tamasha? Je wa zamini wataendelea fanya kazi na Ruge tena???

Pumuzika kwa Aman kaka Ruge...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shida kubwa sana kupenda masister duu hasa wa mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sii kutoka ofisi ya Mh.Mbowe aslani itakua ni ma ccm yametengeneza
 
Aiseee! labda kuna kingine kilichofanya atangulie ama wakati ulishafikia tamati.
 
Watoto wa proffesor Mutahaba katika picha ya pamoja
51503835_2524801044197053_3096366792140275382_n.jpg
 
Hiyo siyo taharuki mdogo wangu,katika uandishi wako haukuwa na sababu ya kulitumia kwani limebadili maana nzima ya habari...uungwana ni kuandika kitu halisi,au sio!...taharuki ni hali ya mshituko mkubwa na au sintofahamu inayoweza kusababisha ugomvi,janga,ajali au hatari kubwa...mfano bomu lilipuke halafu watu waanze kuhaha kila mmoja na njia yake, hiyo ndio utaita taharuki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-Tuwe na nidhamu ya pesa
-Nidhamu ya kazi na kutengeneza mshikamano na wafanyakazi wenzako
-Amejenga uwezo kwa vijana walioko katika fani mbalimbali hapa nchini
-Mafanikio hayaji hivi hivi. Lazima mtu ufanye kazi.
 
Waziri mkuu na mawaziri kibao wamefika hapo msiban jana nao sio wanasiasa wakubwa ngazi za juu?
 
-Tuwe na nidhamu ya pesa
-Nidhamu ya kazi na kutengeneza mshikamano na wafanyakazi wenzako
-Amejenga uwezo kwa vijana walioko katika fani mbalimbali hapa nchini
-Mafanikio hayaji hivi hivi. Lazima mtu ufanye kazi.

Je walio uliza maana ya unafiki wamepata majibu mimi nimejifunza kwamba Viongozi wa kitaifa wanatakiwa kutunza kauli zao '' Public Figures Have to keep their words''
 
-Tuwe na nidhamu ya pesa
-Nidhamu ya kazi na kutengeneza mshikamano na wafanyakazi wenzako
-Amejenga uwezo kwa vijana walioko katika fani mbalimbali hapa nchini
-Mafanikio hayaji hivi hivi. Lazima mtu ufanye kazi.
Maneno yenye hekima sana,ila ngoja mahasimu wake tusikie reply zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom