britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
kwa sasa hakuwa na mke maana mke wake aliolewa na mwanaume mwingine , japo ana watotot watatuSamahani naitaji kujuzwa marehemu alikuwa na familia??i mean mke na watoto!??[emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
najiulizaga kwani jay dee hakuziona radio nyingine kama EA RADIO AU RADIO ONE ? kwanini aliamini kwamba clouds ndo ya kumtoa??Jay dee aliongea akiwa ameshatoboa ndio akasema..
Yote kwa Yote" haiondoi kazi waliyofanya na wanayoendelea kuifanya Clous Media kwenye Muziki wa Tanzania.
Kwani kuna ajabu gani kujenga mapema?Hii imenishangaza sana kwa kweli wahaya wameanza ujenzi wa kaburi leo mazishi siku tatu zijazo mbona mapema sana au litakuwa la ghorofa? au litakuwa lina underground
sio, jamaa hakuwahi kujenga nyumba yake hapa mjini, wengi nawajua walikuwa hawajaoa walipofariki misiba iliwekwa kwenye nyumba walizojenga na sio kwa wazazi wao.
Nyumba yake au nyumba ya kupanga, wenye nyumba wengine hawaruhusu wapangaji kuhani msiba kwenye nyumba zao.Umesha jijibu mwenyewe.
Ila, ki-uhalisia, ni kweli ilitakiwa, msiba uwe kwake, lakini kwa vile tunaambiwa hakuwa na FAMILIA, ikimaanishwa MKE na WATOTO ambao angekuwa anaishi nao hapo nyumbani kwake. Pia, kama wazazi wake wasingekuwa nao wanaishi hapo karibu yake, basi msiba huo ungeanzia hapo nyumbani kwake, kisha kuelekea huko kwa wazazi wake, kama ingeamuliwa kwenda kuzika huko!
Hapo sasa..! !najiulizaga kwani jay dee hakuziona radio nyingine kama EA RADIO AU RADIO ONE ? kwanini aliamini kwamba clouds ndo ya kumtoa??
Naona Diamond na wasafi wake wametoa nyimbo ili watu watoe concentration Kwa msiba wa Ruge Ila cha ajabu msiba unatrendi kila kukicha na mkono wa serikali unazidi kuhisaportTuseme.kweli hakuna kijana alokuwa anawasaidia wenzake kama Ruge,
Akina diamond muda huu wanajifanya hawakupata mchango wowote kwake lakin Mungu ndo anajua
Mungu amrehemu !!!kwa sasa hakuwa na mke maana mke wake aliolewa na mwanaume mwingine , japo ana watotot watatu
Kuna watu walitaka waendelee kuchangisha dinari hata baada ya mtu kufarikiHapo kweli kuna cha ajabu,mimi nilivyoona tweeter ya Rais nikaweka cloud plus waliweka tangazo lao la changia matibabu.nikajiuliza hii clouds plus ni yao au kuna nini.
Hajawahi kuwaona wakenya na wanigeria huyo.Mtutue banaaaa. Mnatusakama sana.
Sio sifa. Tunajiamin. Hutaki unaach
Kutojiamin kwenu kunawafanya mtuone tuna misifa, tunaringa.
Hivi nikiringa au nikiwa na misifa nakupunguzia nini?.
Kama wahaya wanaringa- waganda, wanyaru, wanigeria wanafanyeje?.
Sio kweli, tatizo jamaa hakujenga hapa mjini na alipokuwa anaishi ni nyumba ya kupanga,wenye nyumba za kupanga wengi hawataki wapangaji kuweka misiba kwenye nyumba zaoKinachoendelea ni sahihi, maana msiba upo kwa wazazi wake. Hata kama angekuwa na familia kwa kuwa wazazi wake wapo msiba unakuwa kwa wazazi.
Ila wazazi kama wangekuwa wamefariki sawa msiba kuwa kwake.
Kama zilivo desturi za kichaga na kihaya mara nyingi mtu mzima anapofariki msiba huwekwa nyumbani kwake, na Kama ni mtoto basi msiba huwa kwa wazazi wake, sijaelewa kwanini Kaká yetu mpendwa wameamua kupeleka msiba kwa baba na si kwake, au labda ni kutokana na ukubwa wa msiba wenyewe kwa wa Tanzania.
Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi
Mke wake aliolewa na mwanaume mwingine ?kwa sasa hakuwa na mke maana mke wake aliolewa na mwanaume mwingine , japo ana watotot watatu
Si unajua papara na pupa za mtu? Nasikia na ndege ya kwenda huko nayo katoa. Inafikirisha.Hata kama alikuwa very close sidhani kama taarufa ya kifo hicho alistahili kuitoa yeye kama yeye . Ameingilia utaratibu wa familia. Hakuwa under him.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi imetikisika nenda mwenge uone foleni ya ajabu kisa mwili unapoteanani katikisika, kwa kipimo kipi? unaeta hisia zako kuwa za wote. wengine hawana habari kabisa !
kabisaHapo sasa..! !
Hii ndio Masikini akipata Matako Hugongana
mfuatilie zamaradi mketema nadhani kama hakuwa mke rasmi basi ni mchumba wake ambaye aliolewa na mwingineMke wake aliolewa na mwanaume mwingine ?
ni kweli hayo unayo yasema ?
Kwani Ruge alishawahi kuoa ktk maisha yake ?
Sent using Jamii Forums mobile app