Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Kuigaiga, Ulaya ni ulaya tu kivyaovyao .sisi Wabantu ni wabantu tu ki vyetu. hata-ukiiga vipi hawatakupenda... watakuona nyani tu usiye na akili, watakutenga hata kwenye ibada zao. hawakutaki wee unajua mambo yao ambapo pia hawataki. hivi ulisha endaga huko?Kwani kuna ajabu gani kujenga mapema?
Ughaibuni kuna makaburi yanachimbwa kabla hata atakae zikwa hajulikani. Yanauzwa.
Mafarao walijenga makaburi kwenye pyramid miaka kibao kabla.
Njombe kuna mganga wa tiba za asili kajenga kaburi lake la gharama tena gjorofa na underground kabla hajafa wala kuugua anasema anataka liwe la makumbusho.
Usikariri mazoea au mila ya sehemu flani ukadhani kwa wengine kuna ubaya.
Wahaya kwao Misri ndo asili yao Ruge kajenga hukoKweli Wachagga watabaki kuwa Wachagga....kwenye swala la kuendeleza nyumbani Wachagga tumepiga hatua mno...
Jamaa na pesa zote hizo kashindwa jenga kwao...?
Huko huko Bukoba kuna baadhi ya familia makaburi yameshajengwa na watu wako nchi tofauti wakiendelea na shughuli zao, mtu akirudi kwao kusalimia anaona kaburi atakalozikiwa na maisha yanaendelea kama kawaida.Kwani kuna ajabu gani kujenga mapema?
Ughaibuni kuna makaburi yanachimbwa kabla hata atakae zikwa hajulikani. Yanauzwa.
Mafarao walijenga makaburi kwenye pyramid miaka kibao kabla.
Njombe kuna mganga wa tiba za asili kajenga kaburi lake la gharama tena ghorofa na underground kabla hajafa wala kuugua anasema anataka liwe la makumbusho.
Usikariri mazoea au mila ya sehemu flani ukadhani kwa wengine kuna ubaya kutofuata hayo mazoea au mila.
Kupanga ni kuchagua. Hakuna madhara yeyote zaidi ya faida kwa kujenga mapema kupunguza vurugu siku ya mazishi kama kuna mabadiliko ya vipimo n.k.
Si unataka tusiuge au sio?Kuigaiga, Ulaya ni ulaya tu kivyaovyao .sisi Wabantu ni wabantu tu ki vyetu. hata-ukiiga vipi hawatakupenda... watakuona nyani tu usiye na akili, watakutenga hata kwenye ibada zao. hawakutaki wee unajua mambo yao ambapo pia hawataki. hivi ulisha endaga huko?
Nimeona post ya Mrisho Mpoto sehemu nikaamini siyo kila mfuga nywele anafuga ili awe na akili.
[emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]Wahaya kwao Misri ndo asili yao Ruge kajenga huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!!!mwenyewe ningemtimua kama mbwa kokoHuyo cheusi mangala atuache jamani, anajiliza nini mnafiki mkubwa huyo?
Kuachana na Ruge sio kosa, ni mapenzi ambayo ni uamuzi wake binafsi.
Mimi tokea avujishe zile voice notes alinikera sana.
Ningekuwa mimi ndio Kemilembe ningemzibua vibaoooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaaaa!!!Nahisi hata mie ningemshushia mabao ya haja ama ningemtimua na kumwambia aache watoto
Nifah una visa weweee!!!magazeti kama yote!!!Ila anaona aibu ujue? Hathubutu hata kujiweka mbelembele kama kawaida yake.
Ila ndio angekuwa nae hadi anakufa jamani tungemkomaje chausiku? Uwiiiiiiii tungejutaaaaa
Magazeti mwaka mzima!
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wahaya bwana eti alikua maarufu lakini sio kwao!!yaani hao watu Mimi siwawezi kwa sifaq
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazaliwa kwa Trump
Kafia kwa Ramaphosa
Ruge hakuwa Na Tabia Za Misifa Za Kihaya
Wachache Sana ndio tulijua Kuwa Baba yake Ni Prof Na Mama yake Ni Dkt!
Analia kwa Mengi sana Huyu DAB anakumbuka naye alitembea na Masogange obvious naye ana MKONO WA NYANI.Potelo..aka..nyankonda ...
Anajua kujitoa fahamu!
Lakini atafanyaje asipokwena pia ingekuwa msala!
Kalia huyo yeye na zama....hadi huruma!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani taratibu zinatofautiana kuna sehwmu huwezi kuchimba kaburi na likalala bila kitu! Inatakiwa uchimbe na kuzika siku hiyo hiyoHii imenishangaza sana kwa kweli wahaya wameanza ujenzi wa kaburi leo mazishi siku tatu zijazo mbona mapema sana au litakuwa la ghorofa? au litakuwa lina underground