britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
hahahaHuko huko Bukoba kuna baadhi ya familia makaburi yameshajengwa na watu wako nchi tofauti wakiendelea na shughuli zao, mtu akirudi kwao kusalimia anaona kaburi atakalozikiwa na maisha yanaendelea kama kawaida.
Kwa nini umeuita unafiki? Yule ni mzazi mwenzie maana yake watoto wake wanabaki bila baba ni halali kabisa kuwa na uchunguShoga nkupe umbea Zama naskia kalia mpk kugaragara sebuleni huko msibani[emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]nimechekaaa Mimi acha kabisaa!nkasema kaah!unaafiki hautuishi wabongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndo vivid example wahaya kujisifu tuuKweli Wachagga watabaki kuwa Wachagga....kwenye swala la kuendeleza nyumbani Wachagga tumepiga hatua mno...
Jamaa na pesa zote hizo kashindwa jenga kwao...?
Kwa nini umeuita unafiki? Yule ni mzazi mwenzie maana yake watoto wake wanabaki bila baba ni halali kabisa kuwa na uchungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda wangekuwa wameshaoana hata kimilaHapana asingeitwa mjane bila ndoa.
Uvumilivu ulisaidiwa na pesa na ujenzi wa nyumba anayoishi kwa sasa.
duh ni hatariiATC wameongeza flights tatu kwenda Bukoba kwa watu wanaoenda kumzika na zimejaa.
Watu walikuwa wanafanyia haya hapa msibani.
Na wanaoenda kwa usafiri mwingine ni wengi, ndege pia zimekodishwa.
Nimesoma baadhi ya comments za wadau inaonesha marehemu ndio alikuwa jeuri yake. Analia na mengi, mimi naamini kilio chake ni genuine kabisaNdo mpk kugalalagalaaa....[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji52]yaani Mimi nakataaa anajikosha Angelia kawaida tuuu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Numbisa huwezi kuwa serious, mbona deile tunaona watu wanaoana hivyo yaani mtu akishatoa mahari tu anachukua tu mwamke wake anaweka ndani na hivi amezaa angekuwa mjane wa marehemu kwa herufi kubwa kabisaNgumu sana na isingetokea. Ndoa za kimila siku hizi hazina nguvu
Numbisa huwezi kuwa serious, mbona deile tunaona watu wanaoana hivyo yaani mtu akishatoa mahari tu anachukua tu mwamke wake anaweka ndani na hivi amezaa angekuwa mjane wa marehemu kwa herufi kubwa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hapajajengwa kwao? We vip ? Hebu tazama hicho kijiji na nyumba za majirani.kama unaweza kuviona vijiji kama hivyo pengine.yaani nyie mnapenda ligi na wahaya sijui mna nini?Kweli Wachagga watabaki kuwa Wachagga....kwenye swala la kuendeleza nyumbani Wachagga tumepiga hatua mno...
Jamaa na pesa zote hizo kashindwa jenga kwao...?
Sasa wazazi wake wako mjini aporomoshe jumba la ajabu kijijini la kuishi panya?Kweli Wachagga watabaki kuwa Wachagga....kwenye swala la kuendeleza nyumbani Wachagga tumepiga hatua mno...
Jamaa na pesa zote hizo kashindwa jenga kwao...?
Nakushangaa eti nyumba ya akina Ruge ni mbaya sasa sijui unataka iweje.we nyumba yako kijijini inaweza fikia hata robo ya hio?Hii ndo vivid example wahaya kujisifu tuu
[emoji23][emoji16][emoji3][emoji11][emoji23]Sasa wazazi wake wako mjini aporomoshe jumba la ajabu kijijini la kuishi panya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitaka ajenge ghorofa labdaNakushangaa eti nyumba ya akina Ruge ni mbaya sasa sijui unataka iweje.we nyumba yako kijijini inaweza fikia hata robo ya hio?
Nyumba kama hizo Kwa dar huwezi ikuta mbagala wala tandika ni mitaa ya maana kama mbezi beach na mikocheni
Sent using Jamii Forums mobile app
Vivid example gani ? Huo ni wivu Tu .nyumba ya akina Ruge hii hapaHii ndo vivid example wahaya kujisifu tuu
Wachaga wanavyoviongea huwa na washangaa kama vile moshi hatupafahamu.Yaani wana inferiority Fulani mbele ya wahaya yaana huwezi kuta mchaga anamsifia muhaya hata kidogo huwa wanatafuta weekness Kwa wahaya ili waonekane wao ni Bora zaidi ya kila mtu Tanzania.
Kila kabila Lina tamaduni zake.wahaya Wana utamaduni WA kuzika kwenye shimbuko la ukoo.Why kumzika.Bukoba wakati amezaliwa New York amekulia DSM?