tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,315
Haya maisha ni mafupi sana aisee.
RIP Ruge.
RIP Ruge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli bwana jiranii...
Hapana si kweli amefariki mda si mrefu..Inawezekana alitutoka muda mrefu ila kutokana na Jina alilokua nalo hapa Tz. Watu walikua wanataka wafukie baadhi ya mambo ili watu wasijadiri
Especially hili suala la korosho
R.I.P Luge mutahaba
Sent using Jamii Forums mobile app
anaitwa Ruge sio Luge,yaani mtu kufariki dakika kadhaa tu mnaanza na kumbadilishia jina,vipi ikifika keshoInawezekana alitutoka muda mrefu ila kutokana na Jina alilokua nalo hapa Tz. Watu walikua wanataka wafukie baadhi ya mambo ili watu wasijadiri
Especially hili suala la korosho
R.I.P Luge mutahaba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi Whitney HoustonClouds TV wameanza kupiga nyimbo za kwaya wameanza na wimbo wa Kwetu pazuri wa Ambassadors of Christ wa Rwanda, kisha Baadaye wa AMOS & JOSH na RABBIT KING KAKA.
Jamaa ni Mkuda kishenzi
Matesoyakee siyaaaa kibinadamu achatuuWith Kidney failure, sitashtuka sana! Siombi hayo lakini ule ugonjwa si mzuri katu. All metabolic wastes have no exit outside the body!