Vivid example gani ? Huo ni wivu Tu .nyumba ya akina Ruge hii hapaView attachment 1035593View attachment 1035594View attachment 1035595
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee we kijijini kwenu mna nyumba kama hiyo???? Tuacheni unafiki wakuu.. mm kijijini kwetu kumejaa nyumba za nyasi tupu... hapo naona wameendelea sana..Kweli Wachagga watabaki kuwa Wachagga....kwenye swala la kuendeleza nyumbani Wachagga tumepiga hatua mno...
Jamaa na pesa zote hizo kashindwa jenga kwao...?
Sasa nyumba kama hii ina shida ubaya gani aisee, kama ulivyosema hata hapa Dar nyumba hii utaikuta Masaki hukoWachaga wanavyoviongea huwa na washangaa kama vile moshi hatupafahamu.Yaani wana inferiority Fulani mbele ya wahaya yaana huwezi kuta mchaga anamsifia muhaya hata kidogo huwa wanatafuta weekness Kwa wahaya ili waonekane wao ni Bora zaidi ya kila mtu Tanzania.
Nyumba kama hii mbona nzr Kwa maisha ya kibongoView attachment 1035598View attachment 1035599
Sent using Jamii Forums mobile app
Du,aisee!ATC wameongeza flights tatu kwenda Bukoba kwa watu wanaoenda kumzika na zimejaa.
Watu walikuwa wanafanyia haya hapa msibani.
Na wanaoenda kwa usafiri mwingine ni wengi, ndege pia zimekodishwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asee we kijijini kwenu mna nyumba kama hiyo???? Tuacheni unafiki wakuu.. mm kijijini kwetu kumejaa nyumba za nyasi tupu... hapo naona wameendelea sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Smart sanq, halafu hakuwa MTU wa kukurupukaMsiba huu umenikuta Bukoba ,kashasha, sasa ntalazimika kufika,
This guy was smart for sure
Ina maana kipaji cha Diamond alikiweka kwake Ruge? Kwa taarifa yako Marehemu alikuwa anatazama mtu maarufu anaenda kujaribu kufanya biashara nae ili nae apate mkate kupitia huyo mtu na kwa taarifa yako mtu wa kati kwenye industry ndio anafaidika kuliko msanii mwenyewe ndio maana hakuna msaada alioutoa Zaidi ya kutaka ku-trade na watu wenye vipaji. Ukielewa industry ya muziki utajua nasema nini ila unaonekana hujui kitu
Ndio maana nimesema wangeweza kufunga hata ya kimila kutokana na utofauti wa dini, wangapi wameoana dini tofautiNatamani ungeangalia upande tunaoangalia sie ungeelewa. Hao wawili dini zilikua tofauti na sababu kadhaa hivyo kwa miaka karibia 9 na kitu ndoa hakuna dalili na bibie shida yake ilikua ndoa ndo maana bwana mpya alipojitokeza fasta ndoa ikafungwa
Familia ya Ruge ipo imara sana,yaani haiyumbishwi kama ya kanumba hivyo bibie pale kagonga pabaya hapo wanamvumilia tu msiba uishe bila maneno maneno
Bifu lake na Ruge alilipeleka pabaya na vile mbaba wa watu hanaga vita vya wazi wazi basi kakaibuka kashindi na kujitapa mitandaoni. Kuumwa kwa Ruge alifurahi sana(kwa style ya bila mie utakoma) basi tu alishindwa weka bayana.
Wahenga wanasema kutesa kwa zamu,sasa ni zamu yake kusota maana mario kazi keshamaliza PM lazima atajiweka mbali nae hana faida tena
Ndio maana nimesema wangeweza kufunga hata ya kimila kutokana na utofauti wa dini, wangapi wameoana dini tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana asingeitwa mjane bila ndoa.
Uvumilivu ulisaidiwa na pesa na ujenzi wa nyumba anayoishi kwa sasa.
Mmmh kuna mahali nimesema natamani?Najua unatamani wangeoana ila ilishindikana kwa sababu mbali mbali
Asante kwa kuniweka sawa kuhusu msiba ulipo.
Shoga nasikia Nandy alitoa mimba ya marehemu, analia kufaaaaa! Msiba una mambo huu? Tunalia huku tunamung’unya ubuyu! 🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni kwasababu hawana utaratibu wa kurudi makwao...Sasa wazazi wake wako mjini aporomoshe jumba la ajabu kijijini la kuishi panya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Mange kwenye fekero maarufu anampamba nandy balaa.
Kuwa anazimia muda wote na alikua na Ruge tangu anaumwa aiseee kuna watu waongo ila mange kazidi jamani.
Hivi ni kweli jamani ile nyumba anayokaa na yule Marioo alijengewa na marehemu? Nimekuwa nikisikia huwa siamini hadi leo.
Kama ndio hivyo marehemu kafa na mengi masikini [emoji24][emoji24][emoji24]
Sent from my iPhone using JamiiForums