Bado mseme kuwa marehemu alihonga wananchi wasimame barabarani na kuombolezaClouds wana nguvu sana.
Wamelazimisha hii kitu iwe ya kitaifa.
Lakini diamond hajawahi kumtaja Ruge kama ndie aliemfanya kawa hivi alivyo leo hata kidogo kamtaja aliemtoa kimuziki ambae wote tunamfahamu na kina babu tale tu.
.
Mchango wa ruge ni sawa na mchago wa muhaville.
Wewe ni mkubwa jinga hujui hata wasafi TV ni ya nani?Uongo mkubwa huu, leta ushahidi mkuu kuwa diamond anahisa chache pale wasafi media usilete maneno ya mtumwa wa ngono mange kimambi.
.
Sizani kama unamjua vyema salam sk na babu tale wao ni zaidi ya ruge mutahaba kimitazamo na kiufanisi likija suala la muziki
Wasafi ina mabosi wa 3 na siku zote mtu mwenye hisa nyingi ndio msemaji wa mwisho na ndiyo mwenye maamuzi ya kila kitu kuhusu kampuni husika. Mabosi wa wasafi niLeta ushahidi boss kuwa kusaga anazo hisa pale wasafi tv huna tafuta jina baya nikuite
Hivi sasa Wasafi tv wako live (mubashara) kwenye ukumbi wa karimjee kumuaga aliyekuwa mkurugenzi wa uzalishaji wa vipindi vya clouds.
.
Sasa wale ndugu zangu ambao mna chuki na diamond platnumz mliokuwa mkimsema kuwa hajaguswa na lolote semeni tena
Liweke hapa hilo tangazo, hakuna kitu kama hicho duniani na hata mbinguni yani mimi nianzishe kampuni na wewe tukapewe leseni na TCRA alafu wao ndio watangaze kuwa wewe unahisa 50 nami 50 mbona haiingii akilini hiyo kitu jukumu lao ni kutangaza nani anamiliki nini na nani hamiliki nini au ni kutoa leseni?Wasafi ina mabosi wa 3 na siku zote mtu mwenye hisa nyingi ndio msemaji wa mwisho na ndiyo mwenye maamuzi ya kila kitu kuhusu kampuni husika. Mabosi wa wasafi ni
1. Juhayna zaghalulu ajmy- hisa 53%
Huyu ni mke wa ndoa wa Joseph kusaga na ni mama watoto wa kusaga.
2. Nasibu abduli (diamond) hisa -45%
3.Ali khatibu _ hisa 2%
Ukitaka ushahidi wa tangazo lao walilopeka tcra ili wapewe leseni ya kurusha matangazo ambayo unaonesha huo mgawanyo ntakuwekea hapa pia, kwanza jichaghulie tusi la kukupa kabla sijakuonesha
Asante kwa kutuwekea rekodi sawa.Kuna mahali nimeona umekoment kwamba mdogo wako aliombwa nyuma na jamaa wa Clouds kwenye Fiesta.
Wewe mkubwa zuzu eleza ni ya nani na uweke ushahidi na usilete mboyoyo za kusema ni ya kusaga bila ushahidiWewe ni mkubwa jinga hujui hata wasafi TV ni ya nani?
Nimekuambia jichaghulie tusi kwanza, ndo nikuwekeeLiweke hapa hilo tangazo, hakuna kitu kama hicho duniani na hata mbinguni yani mimi nianzishe kampuni na wewe tukapewe leseni na TCRA alafu wao ndio watangaze kuwa wewe unahisa 50 nami 50 mbona haiingii akilini hiyo kitu jukumu lao ni kutangaza nani anamiliki nini na nani hamiliki nini au ni kutoa leseni?
Naishi dunia ya uhalisia siishi dunia ya Instagram ya kushikwa akili na mtumwa wa ngono mange kimavi
Asante kwa kutuwekea rekodi sawa.
Mimi ni shuhuda kidogo wa hayo yasemwayo na ruge mutahaba japo sina ushahidi wa moja kwa moja, nina mdogo wangu yeye ni mwanamuziki amefanya juhudi sana kuzurula kuifuata Fiesta na kusahau shule sasa basi grand finale ya 2016 ndipo akaniambia Bro aisee hawa majamaa sio wameniomba "Nyuma" ndio nitoboe kimziki naombeni tu nirudi shule nilicheka sana na kuona dogo anatafuta gia ya kuhurumiwa arudi shule.
.
Sasa baada ya Dudu kuanza kueleza hayo hadharani nikaanza kuona kidogo hili jambo yawezekana lina uhalisia fulani kuna msanii yupo THT jina namuhifadhi bado ni mchanga sana anasema Wadada warembo wote wa pale kapitiaaa mzee marehemu. "Sina ushahidi wa moja kwa moja ila ndivyo yanavyosemekana"