Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Funguka mkuu ila usilete propaganda za kusema kusaga ndie boss pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funguka mkuu ila usilete propaganda za kusema kusaga ndie boss pale
Ni dera jeupe lile...Nilimuona. Alivaa gauni ,angalau afiche lijishepu lake lile
Sitajichagulia kama ambavyo wewe hukujichagulia jina baya la kukuita hivyo basi weka hapa hilo tangazo uuwe mjadala huna utapata shida kwanguNimekuambia jichaghulie tusi kwanza, ndo nikuwekee
Sasa kajitu kanatokea huko kanaanza kumdharau zamaradi wakati kweyewe kamepata kazi kwa nguvu ya kiuno chake na kutapeli wanaume wenzie mpaka wakawa wanaishi mbezi.Acha kunichekesha mkuu ONTARIO kwa sasa tupo naye instargramm mkuu anatoa nondo kama zote awali alikuwa akitumia kiingereza kutuma jumbe zake watu tulimmaindu asitunie kiingereza tumia kiswahili, Na sasa karudi na Forex trade uko IG.Na anawapata watu.Ila sijajua hatima yao hadi sasa huwa na mstiri tu huyo ONTARIO uko IG aendelee kutapeli,Siku ikinifika tu nitaumbua MTU uko IG.
kumbe ana mtoto mkubwa hiviView attachment 1035869
Ruge Mutahaba ameacha watoto 5. Mkubwa ni huyu Mwachi ambaye amesoma wasifu wa baba yake hapa.
Familia ya Ruge Mutahaba wamesema wanatambua Ruge aliwahi kuwakosea watu kwa kuwa yeye ni binadamu hajakamalika. Mtoto mkubwa wa Ruge amesema "Familia inaomba msamaha kwa niaba yake." Lakini pia wapo waliomkosea Ruge na pengine wapo wanaoendelea kumkosea. Familia imesema "TUMEWASAMEHE WOTE....TUENDELEE MBELE"
Safi sana hawataki fujo na mtu kabisaView attachment 1035867
Ruge Mutahaba ameacha watoto 5. Mkubwa ni huyu Mwachi ambaye amesoma wasifu wa baba yake hapa.
Familia ya Ruge Mutahaba wamesema wanatambua Ruge aliwahi kuwakosea watu kwa kuwa yeye ni binadamu hajakamalika. Mtoto mkubwa wa Ruge amesema "Familia inaomba msamaha kwa niaba yake." Lakini pia wapo waliomkosea Ruge na pengine wapo wanaoendelea kumkosea. Familia imesema "TUMEWASAMEHE WOTE....TUENDELEE MBELE"
Pamoja na kua Ruge alishajijengea jina kubwa ktk jamii ila wakati mwingine unawaza mbona huu msiba umekuzwa sana, ndipo utabaini kuna watu wameplan kuutumia kisiasa...Nilimuona akilibeba jeneza akiwa mstari wa mbele, kweli kuna watu hawana aibu asilani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi si mwanamuziki ni mfanyakazi, hivyo huko kuwaza kwako kuweke nyuma.Comment yenyewe hii hapa chini, nalazimika kuwaza atakuwa ni yeye mwenyewe jamaa;-
Jamani naomba kuuliza, aliyesoma risala ni mdogowake Ruge au ni mwanae wa kwanza? RIP RUGE MUTAHABA
Sio siri tena.Na yeye naskia ndo alifadhili uwekwaji wa sumu kwa Ruge, asilimia 68 ya sumu imekutwa mwilini kwa ruge japo naskia ni Siri hiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi si mwanamuziki ni mfanyakazi, hivyo huko kuwaza kwako kuweke nyuma
Mwanae wa kwanza
Mfanyakazi wa vyoo vya stendi kumbuka katika hiyo comment niliyoitoa nilisema "Sina ushahidi wa moja kwa moja"Mfanyakazi wa WCB?
Ndio kilichobakia kusemwa tu .....hawa jamaa sijui wanawaza kupitia nini mfyuuuuuuuuBado mseme kuwa marehemu alihonga wananchi wasimame barabarani na kuomboleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo mkubwa huu, leta ushahidi mkuu kuwa diamond anahisa chache pale wasafi media usilete maneno ya mtumwa wa ngono mange kimambi.
.
Sizani kama unamjua vyema salam sk na babu tale wao ni zaidi ya ruge mutahaba kimitazamo na kiufanisi likija suala la muziki