TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Acha kunichekesha mkuu ONTARIO kwa sasa tupo naye instargramm mkuu anatoa nondo kama zote awali alikuwa akitumia kiingereza kutuma jumbe zake watu tulimmaindu asitunie kiingereza tumia kiswahili, Na sasa karudi na Forex trade uko IG.Na anawapata watu.Ila sijajua hatima yao hadi sasa huwa na mstiri tu huyo ONTARIO uko IG aendelee kutapeli,Siku ikinifika tu nitaumbua MTU uko IG.
Sasa kajitu kanatokea huko kanaanza kumdharau zamaradi wakati kweyewe kamepata kazi kwa nguvu ya kiuno chake na kutapeli wanaume wenzie mpaka wakawa wanaishi mbezi.


Ontario hajui Forex , mwaka Jana ilikuwa manusura afe kwa presha baada ya kuunguza account ya pesa kadhaa. Alikuwa Mwanza akaletwa dar hajijui kwa presha ... Na ndio maana wale Wa south walimuingiza mkenge.


Yule msouth kwa sasa yuko Kenya baada ya kukimbia bongo kwa kuunguza account ya dola 150,000 ya kampuni moja hivi nimewastiri jina.


Sasa wanaambulia hela za newbie kwenye training za forex pale Ubungo Plaza. Nenda utawakuta.


Oops , kumbe tuko msibani. Sorry.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1035869
Ruge Mutahaba ameacha watoto 5. Mkubwa ni huyu Mwachi ambaye amesoma wasifu wa baba yake hapa.

Familia ya Ruge Mutahaba wamesema wanatambua Ruge aliwahi kuwakosea watu kwa kuwa yeye ni binadamu hajakamalika. Mtoto mkubwa wa Ruge amesema "Familia inaomba msamaha kwa niaba yake." Lakini pia wapo waliomkosea Ruge na pengine wapo wanaoendelea kumkosea. Familia imesema "TUMEWASAMEHE WOTE....TUENDELEE MBELE"
kumbe ana mtoto mkubwa hivi
 
View attachment 1035867
Ruge Mutahaba ameacha watoto 5. Mkubwa ni huyu Mwachi ambaye amesoma wasifu wa baba yake hapa.


Familia ya Ruge Mutahaba wamesema wanatambua Ruge aliwahi kuwakosea watu kwa kuwa yeye ni binadamu hajakamalika. Mtoto mkubwa wa Ruge amesema "Familia inaomba msamaha kwa niaba yake." Lakini pia wapo waliomkosea Ruge na pengine wapo wanaoendelea kumkosea. Familia imesema "TUMEWASAMEHE WOTE....TUENDELEE MBELE"
Safi sana hawataki fujo na mtu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Comment yenyewe hii hapa chini, nalazimika kuwaza atakuwa ni yeye mwenyewe jamaa;-
Mimi si mwanamuziki ni mfanyakazi, hivyo huko kuwaza kwako kuweke nyuma.
.
Kumbuka nimenena sina ushahidi wa moja kwa moja
 
52713141_374763609744998_2288425472802932159_n.jpg

Ruge Mutahaba ameacha watoto 5. Mkubwa ni huyu Mwachi ambaye amesoma wasifu wa baba yake hapa.

Familia ya Ruge Mutahaba wamesema wanatambua Ruge aliwahi kuwakosea watu kwa kuwa yeye ni binadamu hajakamalika. Mtoto mkubwa wa Ruge amesema "Familia inaomba msamaha kwa niaba yake." Lakini pia wapo waliomkosea Ruge na pengine wapo wanaoendelea kumkosea. Familia imesema "TUMEWASAMEHE WOTE....TUENDELEE MBELE"
 
Uongo mkubwa huu, leta ushahidi mkuu kuwa diamond anahisa chache pale wasafi media usilete maneno ya mtumwa wa ngono mange kimambi.
.
Sizani kama unamjua vyema salam sk na babu tale wao ni zaidi ya ruge mutahaba kimitazamo na kiufanisi likija suala la muziki

soma tena ulichokiandika,kiufupi umeandika ushuzi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom