TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

So wamemuomba msamaha Dudubaya na wenzake kwa niaba ya marehemu?

Sasa kama familia inaomba msamaha wale viherehere waliokua wanamdiss dudubaya inakuaje
 
soma tena ulichokiandika,kiufupi umeandika ushuzi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe ulieandika utoko, nimeeleza vyema naomba ushahidi kama hauna sema nikuite jina gani baya la kukuudhi mpaka uniombee ban ya maisha
 
Dimond hisa zake ni 25% zilizobaki zinamilikiwa na mke wa kusaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dimond hisa zake ni 25% zilizobaki zinamilikiwa na mke wa kusaga

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe jamaa mbona mnanichanganya angalia alichoandika mwenzako Sanchez magoli hapa👇
.
 
Sitajichagulia kama ambavyo wewe hukujichagulia jina baya la kukuita hivyo basi weka hapa hilo tangazo uuwe mjadala huna utapata shida kwangu
Huyo wa kwanza ndiye CEO wa wasafi tv, mke wa kusaga juhayna na picha pili ni tangazo la tcra ndani yake utaona mgawanyo wa wasafi media
u
 
Hivi sasa Wasafi tv wako live (mubashara) kwenye ukumbi wa karimjee kumuaga aliyekuwa mkurugenzi wa uzalishaji wa vipindi vya clouds.
.
Sasa wale ndugu zangu ambao mna chuki na diamond platnumz mliokuwa mkimsema kuwa hajaguswa na lolote semeni tena
Wasafi ni mali ya Joseph Kusaga usisahau hilo!
 
Ishu ni kuwa mwenye hisa kubwa ndio mwenye Maamuzi na huyo mtu ni Mke wa Kusaga na sio Diamond

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…