TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Hivi sasa Wasafi tv wako live (mubashara) kwenye ukumbi wa karimjee kumuaga aliyekuwa mkurugenzi wa uzalishaji wa vipindi vya clouds.
.
Sasa wale ndugu zangu ambao mna chuki na diamond platnumz mliokuwa mkimsema kuwa hajaguswa na lolote semeni tena
Ana % ngapi kwenye hiyo wasafi?
 
Kwa hiyo ili kumgundua mtu anavirusi vya ukimwi lazima nawewe uwe na virusi vya ukimwi? Embu kuwa kiakili mkuu

Nikisoma comments zako na jinsi unavyopanic ukiambiwa uliwapa walipokuomba, kuna tone ya kuonesha kwamba ni kweli uliwapa na bado wakakudump. Ndo maana una hasira nao.
 
Zama ni mvumilivu sana!
Ila alikosea mahesabu kidogo tu!
Angekuwa anaitwa mjane wa marehemu sasa....

Sent using Jamii Forums mobile app
hana uvumilivu..wakiitwa wavumilivu zama hapenyi..alafu nashangaa watu wanamgwaya sna..labda coz sie wengine hatumfatilii sana..atajibeba..kutunza watoto had wafikie umri 18yrs si padogo..!hata k ana hela baba ni baba tu
 
Angeomba mwenyewe ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana alimzaa akiwa mudogo mbona mkubwa hiv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee anasema kazaliwa 83 shogaa [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilichoka mnoo siku hyoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…