TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba



Jaman kumbe ana watoto wakubwa..ana mwili mzuri kwakweli..nadhan sababu ya pesa...lol..ilambona kina lowasa wana pesa ila wamejichooookeeeea...!kama mtamu balaa huyu anafaa!😊
 
hana uvumilivu..wakiitwa wavumilivu zama hapenyi..alafu nashangaa watu wanamgwaya sna..labda coz sie wengine hatumfatilii sana..atajibeba..kutunza watoto had wafikie umri 18yrs si padogo..!hata k ana hela baba ni baba tu
Hakuna anayemgwaya...

Kwa wanaomfahamu yule kaka...
Hata kama na yeye alikuwa na lengo lake bado inabaki kuwa ni mvumilivu...
Uzuri anajielewa naamini atakuwa sawa tu si mjinga ki vile yule.. ... ....

Lawama hawezi kosa wanawake hawapendani ...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnooo!!!alikua anampa kibri na nguvu alifanya figisu mpk dina marios akapunguzwa Clouds na mmewe ncha Kali!halafu nafikiri ncha Kali na dina nao wameachana!!!

Sent using Jamii Forums mobile app


zamani sana sana..kama.3 au 4 yrs back....dina amepanga nyaishozi jirani kbs na kwetu..ana danga jingine.ncha hakanyagi pale
 
Huyu jamaa ana ubishi wa kijinga sana usipoteze energy yako mkuu muache na ujinga wake
 
Kumbeee!!!doohh!!ndo linampa maisha hiloo kumbe Ncha Kali kashatemwaa!!!ila Dina katulia

Sent using Jamii Forums mobile app
zamani sana..ila shost ana nyodo.. ana zile za kukuangalia anakupandishq na kukushusha😂😂nashangaa public hiv anaonekana mtu wa watu ila home kwake ananyodo jaman huyu dada...!ngoja nisiongee sana
 
Kumbe dina amepanga nilidhani nyumba yake duh,huyo ncha alinyakuliwa na kadada kengine,dina alijitahidi kumrudisha ikashindikana


yap..kapanga amepanga nyumba ya mke wa lissu..lakini nahis wameiuza kwa mtu mwingine sina hakika sana coz mie pale sio mkaaji sana..ila ni jirani kbs na sisi..tumeshea fence..ana madharau kama yote
 
Hata kama bado namtetea lowassa ana 65 na misukosuko yoote ya kisiasa bado anaita. Siasa si za mchezo mchezo. Cheki Zari wanasema ana 50 ila bado kanaita


😂😂😂😂numby una uteam balaa sikuwez..eti zari ana 50😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…