Mmh!
labda hataki ndara...ziwa kuanguka
na huyo mume angemuoa kweli na miwaya??
Ngumu ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh!
labda hataki ndara...ziwa kuanguka
na huyo mume angemuoa kweli na miwaya??
Ngumu ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sijui, mi naona tu watu wanaanza kumzomea!....kanywea maskini full kujisikia vibaya![emoji23][emoji23][emoji23]duh..kisa??ila sio poa
Clouds Media ni kama wanajitekenya na kucheka wenyewe.
Yani wanatumia nguvu kubwa sana kuutangaza msiba wa Ruge uonekane kama msiba wa kitaifa na kuudanganya uamini kwamba Ruge alikuwa kipenzi cha watu.
Wameona hiyo haitoshi wakaamua mpaka kuwalipa wasanii ili wamtungie wimbo Ruge ili kumsafisha.
CMG wakumbuke kwamba jasho la wanyonge haliendi bure bure ,yale yote aliyowafanyia wasanii ikiwemo kuwadhulumu haki zao za msingi lazima huko aendako ataulizwa na atalipa ubaya wote aliowafanyia watu.
Uungu mtu unaishia hapa hapa duniani, hata Farao kipindi anafariki alijutia yale maovu yote aliyokuwa anawafanyia watu na alitaka kutamka shahada ili Mungu amsamehe lakini Mungu alikataa shahada yake na mwili wake ulikataliwa na ardhi, kila wakimzika ardhi inamtema,wakajaribu kumchoma moto lakini wapi haikusaidia.
Kingine cha muhimu zaidi watoe mchanganuo wa pesa za matibabu ambazo Watanzania walichanga kwa ajili ya matibabu yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zari 50 jamani [emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama bado namtetea lowassa ana 65 na misukosuko yoote ya kisiasa bado anaita. Siasa si za mchezo mchezo. Cheki Zari wanasema ana 50 ila bado kanaita
Hata sijui, mi naona tu watu wanaanza kumzomea!....kanywea maskini full kujisikia vibaya!
Watu wamemwambia umekuja kutafuta kiki fala wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Enheee!usinambie wabongo hawataki mchezooo[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]Shost...Domo kaja sasa hivi karimjee msibani, kazomewaje[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wabongo siwaweziShost...Domo kaja sasa hivi karimjee msibani, kazomewaje[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo mkubwa huu, leta ushahidi mkuu kuwa diamond anahisa chache pale wasafi media usilete maneno ya mtumwa wa ngono mange kimambi.
.
Sizani kama unamjua vyema salam sk na babu tale wao ni zaidi ya ruge mutahaba kimitazamo na kiufanisi likija suala la muziki
Baada ya Nifah kukuita shogake ulisema unaondoka now umerudi tena...umbea kama uko damuni huwezi kuvumilia bwana[emoji23][emoji23]Saizi yake..
Dina alimuendesha sana mke mkubwa wa ncha kali!
Mno...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu analifahamu hili kwa sasa. Siyo siri tenaNa yeye naskia ndo alifadhili uwekwaji wa sumu kwa Ruge, asilimia 68 ya sumu imekutwa mwilini kwa ruge japo naskia ni Siri hiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha
Wewe ni mpuuzi na haujielewi.Kama mwenye taifa katoa ndege wewe ni nan basi mpaka ushangae walioimba tu ?
Aseehhh!!!safi kabisaaHata sijui, mi naona tu watu wanaanza kumzomea!....kanywea maskini full kujisikia vibaya!
Watu wamemwambia umekuja kutafuta kiki fala wewe
Sent using Jamii Forums mobile app