TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Mmh!

labda hataki ndara...ziwa kuanguka

na huyo mume angemuoa kweli na miwaya??
Ngumu ....



Sent using Jamii Forums mobile app


unadhan ukinyonyesha ndo ndala..hapana bwana ni ujinga tu..as the days goes on tishu za maziwa zinaanza legea..kuanguka ni kama pie!ila kuna wengine hawanaga maziwa so anakuwa forced kumwanzishia formulas mapema
 
RC Makonda amesema kwa sasa hatasema lolote juu ya rafiki yake kipenzi Ruge Mutahaba.

Makonda amesema Ruge ni mtu muadilifu, mchapakazi na jasiri hivyo anashindwa namna ya kumuelezea na anazidi kumuomba Mungu ampe kibali na kwa kuwa ataenda Bukoba kwenye mazishi basi kwa neema ya Mungu akipata kibali ataweza kumuelezea rafiki yake huyu.

Source: Clouds tv!
 

Braza yaonekana unaumia sana. Hivi hiyo kunyonywa walikuwa wanashikiwa bunduki au ilikuwa hiyari yao?
 



Sizani kama shule umeenda wewe na unaelewa kuhusu swala zima la media vizur!! Hakuna chombo cha habar ambacho hakitakuwa na leseni ya kutoa habar whether n social news or news nyingine usikurupukie vitu kwa mbele kijana



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…