TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Sema Dina anajielewa yule mdada!

Sent using Jamii Forums mobile app


nope nope!..tena yule 3yrs ago atakuwa chapombe..anakunywa kwa kujificha..akafu anapenda kuita hom mashost wananywea pale kwake..sema hapa mdada wa kazi ndo namharibiaaa😂😂😂💪..dina had nyagi anagoga😂😂...!uwii kama namuona dadangu anapgwa marufuku mengine kutimba mle ndani😂😂😂..watajijuuuu
 
Ruge hajaacha kesi yoyote ya kujipatia pesa kwa njia za udanganyifu na hajawahi kushitakiwa either au alikuwa anawadhulmu ndogo? Mbona hawakuenda kortini?
 
Baada ya Nifah kukuita shogake ulisema unaondoka now umerudi tena...umbea kama uko damuni huwezi kuvumilia bwana[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app


😂😂🤔🤔😂😂😂khantwe wew una shda..nilitaka sema hvyp hvyp nikaona nipotezee hainisaidii😂😂😂😂..umbea ni kitu kingine..ila mie sipend men awe mdaku jaman😂😂😂nakuaga baridiii
 
Kama mwenye taifa katoa ndege wewe ni nan basi mpaka ushangae walioimba tu ?

Kwa kweli mwambie akubali tu ni msiba wa kitaifa, huku kwetu watu wamelipia ving"amuzi vyao leo ili waangalie Ruge anaagwaje.
 
Hahahaaaa! Daah!! Ama kweli usihukumu mtu kwa macho
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyo dogo mbona ni kama hajielewi kabisaa #khaligraph jordan mbona ana small mind kama kinyesi cha kuku.. anatokea wapi au ni shosti ndugu yetu *fu*** U


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
"tena yule 3yrs ago atakua chapombe" ..hakika umbea ukizidi ni hatari kwa akili😀😀😀
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi pia nilijua wa kike aisee mwache bwana ndio hobby yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyo dogo mbona ni kama hajielewi kabisaa #khaligraph jordan mbona ana small mind kama kinyesi cha kuku.. anatokea wapi au ni shosti ndugu yetu *fu*** U


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi naweza kuwa baba yako kiamba mkumba wewe, eleza huo udogo wa akili sio unatukana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…