Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
nope nope!..tena yule 3yrs ago atakuwa chapombe..anakunywa kwa kujificha..akafu anapenda kuita hom mashost wananywea pale kwake..sema hapa mdada wa kazi ndo namharibiaaa😂😂😂💪..dina had nyagi anagoga😂😂...!uwii kama namuona dadangu anapgwa marufuku mengine kutimba mle ndani😂😂😂..watajijuuuu