Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa Ufipa BhnaMjumbe wa Kamati kuu ya Chadema Mh Lowassa amekuwa mwanasiasa wa kwanza wa ngazi ya juu kabisa nchini Tanzania kufika na kuhani msiba wa Ruge Mutahaba
View attachment 1034124
Wamekosa wa kuwahojiHuyo mpumbav wanamhoji wa nini??
-Tuwe na nidhamu ya pesa
-Nidhamu ya kazi na kutengeneza mshikamano na wafanyakazi wenzako
-Amejenga uwezo kwa vijana walioko katika fani mbalimbali hapa nchini
-Mafanikio hayaji hivi hivi. Lazima mtu ufanye kazi.
Nenda mahakani ukamsaidie kupeleka uthibitisho aliyousema kwa membe!Maneno yenye hekima sana,ila ngoja mahasimu wake tusikie reply zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kazi yangu,"pathetic"Nenda mahakani ukamsaidie kupeleka uthibitisho aliyousema kwa membe!
Idt
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kassim Majaliwa alifika jana.Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema Mh Lowassa amekuwa mwanasiasa wa kwanza wa ngazi ya juu kabisa nchini Tanzania kufika na kuhani msiba wa Ruge Mutahaba
View attachment 1034124
Ni kampuni yake na huyo ni mfanyakazi wake. Ni kama ITV imhoji MengiHuyo mpumbav wanamhoji wa nini??
Ametengeneza nahojiano yeye mwenyewe na huyo dada ni mfanyakazi wake kwenye kampuni yake. Ni kama ITV kumhoji MengiWamekosa wa kuwahoji
Anapoteza mudaAmetengeneza nahojiano yeye mwenyewe na huyo dada ni mfanyakazi wake kwenye kampuni yake. Ni kama ITV kumhoji Mengi
Sent using Jamii Forums mobile app