Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Alipokua hospital hawakuruhusiwa watu kumuona isipokua ndugu wa karibu tu.Ingependeza zaidi kama ungekuwa na moyo huu kipindi akiwa mgonjwa. Maana kwa sasa usingepata tabu kuuliza ingekuwa waenda tu kuaga.
Au ndio ulibanwa na majukumu Mkuu?